Maadili ya taasisi (Core values)
Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika utekelezaji wa Mpango mkakati wakeinazingatia mambo yafuatayo:-
Ufanyaji kazi kwa ufanisi (Diligence & Integrity)
Ufanyaji kazi kwa pamoja (Team spirit)
Kuwasikiliza Wateja kwa ukaribu (Customer focus with courtesy)
Uwajibikaji (Accountability)
Kujiendeleza kimafunzo (Continuous learning)
Kujiandaa kwa Majanga na Dharula (Disaster preparedness)
Mtaa wa Gangilonga
Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa
Simu ya mezani: 026-2702828/2702585
Simu ya mkononi: 0767778106
Barua pepe: ded@iringadc.go.tz
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa