• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mifugo

Halmashauri ya Wilaya katika kuimarisha sekta ya mifugo na kuongeza kipato kwa wafugaji na wananchi kwa ujumla, yafuatayo yamefanyika kuishia Disemba 2014.

  • Halmashauri imeendelea kukamilisha ujenzi wa machinjio ya kisasa katika Kijiji cha Nzihi. Ujenzi wa machinjio hii awamu ya kwanza umekamilika kwa 100% na inafanywa kulingana na fedha zilizotengwa Tshs 130,000,000. Fedha hizi zilitolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) na utekelezaji wake umefanywa kupitia Mpango wa kuendeleza kilimo wilayani (DADPs), pamoja na nguvu za wananchi.
  •                  2.2.2 Usambazaji wa Ngo’mbe bora
  • Halmashauri imenunua na kusambaza Ng’ombe bora 34 wa maziwa kwa vikundi vitatu katika Vijiji vya Kaning’ombe, Magubike na Lupembelwasenga, ambapo jumla ya kaya 31 zimenufaika na mradi huu. Vikundi vilivyopewa Ng’ombe wa maziwa vinaendesha mpango wa Kopa Ng’ombe lipa Ng’ombe ambapo mradi unaendelea kuenea na kunufaisha kaya mpya ambazo zitaingia kwenye mpango huu.

 Halmashauri ina mpango wa kuboresha wa ng’ombe wa asili ili kuwa na uzito wenye tija katika soko, ambapo imenunua madume bora 26 ya kuboresha koo safu za Ng’ombe wa asili na kuyasambaza kwa vikundi viwili vilivyopo katika  vijiji  vya Nyakavangala na Ismani Tarafani.  Hadi sasa kuna jumla ya vikundi 6 vilivyonufaika na mpango wa uboreshaji wa Koo - safu za Ng’ombe kwa kutumia madume bora. Vijiji vingine ni Makatapora, Ilambilole, Nyabula na Malinzanga. Jumla ya madume bora 44

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha pili na Kidato cha nne 2020 haya hapa January 15, 2021
  • TANGAZO UPANGISHWAJI WA MAJENGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA. December 14, 2020
  • UZINDUZI WA BARAZA LA MADIWANI 2020/2025 December 14, 2020
  • Tangazo la ujio wa Madaktari bingwa kutoka Ujerumani katika Kituo cha Afya cha Ifunda Mission. February 06, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Muwezezaji wa Mrati wa World Vision Wasa Bi.Gaudencia Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wazazi na watoto waliopatiwa vitimwendo katika kata ya Wasa

    November 26, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya

    October 20, 2020
  • Tazama zote

Video

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya azindua rasmi ghala la Isele
video

Viungo vya haraka

  • Dashibodi ya Mapato
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa