Shule ya sekondari Kimaiga ujenzi wa vyumba vya madarasa hatua ya umwagaji jamvi.
Ujenzi wa darasa moja shule ya Sekondari Furahia ikiwa katika hatua ya upandishaji wa kuta.
Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO -19. Utekelezaji wa ujenzi wa madarasa mawili na ofisi moja katika shule ya Sekondari Ilambilole katika hatua ya umwagaji jamvi.
Matukio mbalimbali ya Ziara ya Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango lilichofanyika Oktoba 20 mwaka 2021.
Watendaji wa Kata ma Wadau mbalimbali wakiwa katika Kikao cha lishe katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji iliyopo kalenga Oktoba 18 mwaka huu.
Mkuu wa Wilaya ya iringa Mh.Mohamed Moyo akifungua kikao cha Kamati ya Lishe kilichofanyika tarehe 18/10/2021 katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa iliyopo Kalenga.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Queen Sendiga akizindua mradi wa madarasa mawili na ofisi moja katika shule ya sekondari Lyandembela.13/10/2021.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja akitoa ufafanuzi kuhusu mradi wa makao makuu unaotekelezwa katika Kijiji cha Ihemi Kata ya Mgama.13/10/2021.
MGENI RASMI AKIJIFUNZA KUHUSU VYAKULA VINAVYOSINDIKWA NA WAJASILIAMALI WAKATI WA UFUNGUZI WA MAONESHO YA NANE NANE.
Mtaa wa Gangilonga
Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa
Simu ya mezani: 026-2702828/2702585
Simu ya mkononi: 0767778106
Barua pepe: ded@iringadc.go.tz
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa