• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mifugo

Halmashauri ya Wilaya katika kuimarisha sekta ya mifugo na kuongeza kipato kwa wafugaji na wananchi kwa ujumla, yafuatayo yamefanyika kuishia Disemba 2014.

  • Halmashauri imeendelea kukamilisha ujenzi wa machinjio ya kisasa katika Kijiji cha Nzihi. Ujenzi wa machinjio hii awamu ya kwanza umekamilika kwa 100% na inafanywa kulingana na fedha zilizotengwa Tshs 130,000,000. Fedha hizi zilitolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) na utekelezaji wake umefanywa kupitia Mpango wa kuendeleza kilimo wilayani (DADPs), pamoja na nguvu za wananchi.
  •                  2.2.2 Usambazaji wa Ngo’mbe bora
  • Halmashauri imenunua na kusambaza Ng’ombe bora 34 wa maziwa kwa vikundi vitatu katika Vijiji vya Kaning’ombe, Magubike na Lupembelwasenga, ambapo jumla ya kaya 31 zimenufaika na mradi huu. Vikundi vilivyopewa Ng’ombe wa maziwa vinaendesha mpango wa Kopa Ng’ombe lipa Ng’ombe ambapo mradi unaendelea kuenea na kunufaisha kaya mpya ambazo zitaingia kwenye mpango huu.

 Halmashauri ina mpango wa kuboresha wa ng’ombe wa asili ili kuwa na uzito wenye tija katika soko, ambapo imenunua madume bora 26 ya kuboresha koo safu za Ng’ombe wa asili na kuyasambaza kwa vikundi viwili vilivyopo katika  vijiji  vya Nyakavangala na Ismani Tarafani.  Hadi sasa kuna jumla ya vikundi 6 vilivyonufaika na mpango wa uboreshaji wa Koo - safu za Ng’ombe kwa kutumia madume bora. Vijiji vingine ni Makatapora, Ilambilole, Nyabula na Malinzanga. Jumla ya madume bora 44

Matangazo

  • TANGAZO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MLENGE April 30, 2022
  • TANGAZO LA UJENZI WA CHUMBA CHA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MLENGE April 30, 2022
  • NECTA YATANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA PSLE 2021 October 30, 2021
  • KILA LA KHERI KATIKA MTIHANI WENU WA KUHITIMU ELIMU YA KIDATO CHA NNE November 15, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMISAA WA SENSA MAMA ANNA MAKINDA AWATAKA MAAFISA HABARI WA SERIKALI KUTOA ELIMU YA SENSA YA WATU NA MAKAZI

    May 12, 2022
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA MHE. STEPHEN MHAPA AKIWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA KATA YA NZIHI KATIKA MKUTANO WA BARAZA LA WAH. MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA SIASA NI KILIMO

    May 10, 2022
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA WAKILI MUHOJA AKIHUTUBIA KATIKA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA SIKU TATU KWA WAWEZESHAJI WA TASAF HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

    May 10, 2022
  • UGAWAJI WA VIFAA VYA USAFI KWA WATOTO WA KIKE WALIOKO SHULENI WANUFAIKA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI TASAF HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

    May 07, 2022
  • Tazama zote

Video

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA POLIO, DALILI NA NJIA ZA KUJIKINGA
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa