• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Idara ya Fedha na Biashara

TAARIFA YA IDARA YA FEDHA NA BIASHARA

Idara ya fedha ni idara inayojishughulisha na usimamizi wa ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika halmashauri, na kutoa ushauri wa namna bora ya matumizi ya fedha.

Katika kusimamia huko inahakikisha kunakuwa na mfumo thabiti wa udhibiti wa ndani(lnternal control system)Ambao pamoja na kuzingatia masuala ya kiutendaji pia unalenga katika kuangazia taratibu nzima za kifedha za halmashauri,Lakini pia ina kazi ya kuwasilisha taratibu za kifedha kwenye kamati ya fedha kwa ajili ya mapitio,pia kuhakikisha kunakuwa na udhibiti wa kutosha wa mali za halmashauri pamoja ne fedha, hii ikiwa ni kuwa na mpango kazi mzuri wa wafanyakazi na utawala ndani ya idara ya fedha,Nakuishauri halmashauri katika masuala yote yanayohusuyo mambo ya fedha.

Idara ya fedha ina jumla ya vitengo 4, Ambavyo ni: Kitengo cha mishahara, kitengo cha mapato, kitengo cha matumizi, na kitengo cha taarifa za mwisho za mahesabu ya halmashauri (Final account), Kazi za vitengo hivyo ni kama ifuatavyo;

I: MATUMIZI

(i)Kuandaa malipo yote

(ii)Kuandaa Bajeti ya matumizi ya kawaida,

(iii)Kuhakikisha uwepo wa nyaraka zote za malipo kabla na baada ya kulipa, (iv)Kuhakikisha taratibu na sheria za kifedha zinatekelezwa,

(v)kuhakikisha kuwepo na majalada ya kumbukumbu kwa malipo yaliyolipwa,

(vi)Kufanya usaili wa kimahesabu kati ya benki na vitabu vya kumbukumbu vya halmashauri.

(vi)Kuandaa taarifa za fedha na kuziwasilisha sehemu husika kwa wakati.

2: MAPATO

(i)Kuhakikisha inakusanya mapato yote ya halmashauri,

(ii)Kuhakikisha kuna udhibiti mzuri wa mapato ya Halmashauri,

(iii)Kupeleka fedha taslimu na hundi benki

(iv)Kuandaa ripoti mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika, (v)Kuweka utaratibu rahisi wa malipo ya fedha taslimu kwa wateja,

(vi)Kubuni vyanzo vipya vya mapato,

3: MlSHAHARA

(l)Kuandaa orodha ya watumishi kwa ajili ya kulipwa mishahara

(ii)Kutunza orodha ya watumishi wanaolipwa mishahara na kutunza kumbukumbu za makato yakatwayo watumishi kwenye mishahara yao

(iii)Kuandaa bajeti ya mishahara kwa watumishi

(iv)Kuandaa taarifa mbalimbali za mishahara na kupeleka sehemu husika

(v)Kushughulikia matatizo yote ya mishahara inayotokea kwa watumishi

4: KITENGO CHA TAARIFA ZA KIMAHESABU (Final account)

(i)Kuandaa usuluhisho wa taarifa za cashbook zinatunzwa halimashauri na zile zilizopo benki

(ii) Kujibu hoja za ukaguzi (iii)Kuanda taarifa za mapato na matumizi

(iv)Kutunza cashbook.

Idara ya fedha ina jumla ya wataalamu 14 ambao wako makao makuu ya halmashauri na 6 wako nje ya makao makuu ya halmashauri

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa