• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ACP Juma Bwile akipiga saluti ya utii wa kupokea maagizo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh.Queen Sendiga Agosti 17 mwaka huu akisikiliza kero za wananchi wa Kijiji cha Igingilanyi.

Imewekwa : August 19th, 2021

RC-Iringa sitowaacha salama wabakaji,walawiti katika Mkoa wa Iringa.

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa -DC)

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh.Queen Sendiga ameliagiza jeshi la polisi mkoani hapa kulipa kipaumbele suala la upelelezi wa kesi za ubakaji,ulawiti na ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbli ndani ya mkoa wake.

Mh.Sendiga alitoa kauli hiyo wakati wa kuhitimisha ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambapo mbali na kukagua miradi pia alisikiliza kero za wananchi katika Kijiji cha Igingilanyi Kata ya Kising’a Agosti 17/2021.

Alisema “Inashangaza na kusikitisha mkoa wetu pamoja kuwa katika orodha ya mikoa yenye idadi kubwa ya wananchi wenye utapia mlo lakini pia kumekuwa na matukio ya ukatili ikiwemo ubakaji na ulawiti suala ambalo siko tayari kulifumbia macho na hapa na sisi nina kuagiza Mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Iringa ACP Juma Mbwile kuwajulisha wapepelezi wako kulipa uzito suala la upelelezi wa makosa haya ya ubakaji na ulawiti” nakuongeza;

“Askari Kata nawaagiza kuwachukulia hatua wananchi wote ambao wanajishughulisha na biashara ya uuzaji wa pombe (vilabu) na wanafungua vilabu hivyo kabla ya muda uliopangwa kisheria lakini pia wananchi ama wakina mama watakaokuwa wanaenda na watoto ama kuwatuma Watoto kununua vileo na sigara alisema.

Aidha,akizungumza na wananchi Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Hassain Moyo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa aliwataka wananchi kutosikiliza uvumi na upotoshaji unaoenezwa na watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu chanjo ya UVIKO 19 (COVID-19) kwa kuwa wanayozungumza sio sahihi.

“Tarehe mosi mwezi Septemba nitakuwa na ziara ya kusikiliza kero ya Kijiji kwa Kijiji ambapo nitaambatana na wataalam mbalimbali na kwa yeyote atakayekuwa tayari kwa hiyari yake na sisitiza chanjo hii ni hiyari ataweza kuchanjwa kwa kuwa kinga ni bora kuliko tiba”alisema.

Mh.Moyo alitoa rai kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kueleza kero na changamoto zao ili aweze kuzipatia uvumbuzi kwa kuwa lengo kuu la serikali ni kuwatumikia wananchi na kuziondoa kero na changamoto zao.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bw.Bashir Muhoja aliahidi kuzifuatilia kero na changamoto za wananchi ambazo Mkuu wa Mkoa alimtaka kuzishughulikia na kumpa mrejesho kwa wakati kero hizo ni pamoja na mwananchi aliyedai kuzuiwa kutumia shamba la marehemu baba yake,kuorodheshwa majina ili kupatiwa huduma ya maji bila huduma hiyo kufika kwa takribani mwaka mmoja,kuibuka kwa ujenzi holela wa nyumba za ibada ambazo baadhi yake zimekuwa zikiknzana na sheria,kanuni na taratibu kwa kutumia vipasa sauti vikali na kuwa kero kwa wakazi wa maeneo hayo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa