• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

AFISA ELIMU WILAYA IRINGA APOKEA SARUJI MIFUKO 60 KWA NIABA YA MKURUGENZI MTENDAJI

Imewekwa : May 5th, 2020

MBUNGE MH MWAMWINDI ATOA SARUJI MIFUKO 60 HALMASHAURI YA IRINGA.



Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano Iringa DC)

Mbunge Viti Maalum kupitia Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mh Zainabu Mwamwindi leo Mei 5 amekabidhi mifuko 60 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambayo imeelekezwa katika sekta ya Afya na Elimu.

Mh Mwamwindi alisema ametoa mifuko hiyo ili kuisaidia Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika kuboresha Miundombinu ya Shule za Kalenga na Lupembelwasenga pamoja na Zahanati ya Ihominyi iliyopo katika Kata ya Kihorogota.

Alisema Saruji hiyo amepewa na Shirika la Nyumba la Taifa baada ya kupokea maombi kutoka katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri hususani vijijini kwani Mvua kubwa zilizonyesha mwaka huu zimeharibu Miundombinu mingi sana.

“Mwaka huu Mvua zilikuwa nyingi sana na zimenyesha kwa kipindi kirefu hivyo kuna baadhi ya maeneo Miundombinu imeharibiwa vibaya sana lakini kwa kipindi hiki ambacho shule zimefungwa nimeona nielekeze mifuko 40 ya Saruji Shule ya Msingi Kalenga na 10 Shule ya Lupembelwasenga ili wanafunzi wakianza kusoma wakute Miundombinu imeshaimarika”alisema.

Akipokea Saruji hiyo kwa Niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bw Peter Fussi ambaye ni Afisa Elimu Wilaya ya Iringa alisema “Mkurugenzi ameshukuru sana kwa kupokea Saruji hii na kuomba usichoke kutusaidia katika Idara mbalimbali ili kuboresha huduma kwa wananchi wetu ambao wanaitegemea Serikali yao kwa asilimia kubwa”.

Alisema “Kupokea Saruji hii ni neema kwa kuwa wahitaji na mahitaji ni mengi lakini Mh Mwamwindi umetuteua sisi Halmashauri tunakushukuru sana sana, kwani eneo ulilolielekeza kutoa saruji lina uhitaji mkubwa.”

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa