• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Afisa Kilimo Alexander Fortunatus akiwasilisha mada kwa Maafisa Ugani wakati wa Kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo.

Imewekwa : February 11th, 2022

Maafisa Ugani wanolewa kwenda kuboresha Utendaji kazi.

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa-DC

Akizungumza ufunguzi wa kikao hiko kilichofanyika leo katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo, Mkurugenzi Mtendaji Wakili Bashir Muhoja amewakumbusha Maafisa ugani kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kutimiza lengo la Serikali la kutoa huduma kwa wananchi kwa haraka na ubora.

Baada ya kufungua Kikao hiko Wakili Muhoja amewataka watumishi waendelee kusimamia mazao ya kimkakati ya Halmashauri ambayo ni Pamba, Parachichi,Kahawa na Alizeti katika maeneo wanayotoka ili wananchi waweze kunufaika na kilimo cha mazao hayo ya kimkakati.

Akiwasilisha mada ya lishe, Afisa lishe wa Wilaya Bi.Evaline Selemani amesema ni wakati sasa Maafisa Ugani kuwaeleza wananchi umuhimu wa kuhifadhi mazao ya chakula ili kuzuia kupata sumukuvu.

Bi. Selemani amesema iwapo wananchi watapata elimu watakuwa wamesaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza udumavu na hata saratani ambayo huweza kusababishwa na sumukuvu.

“Wananchi waelekezwe namna bora ya Uhifadhi wa Chakula kuanzia mazao yanapo kuwa yanatoka shambani kuvunwa hadi kufika nyumbani ili kuuvunja mnyororo huu wa kusambaa kwa sumukuvu”alisema na kuongeza

“Pia, wananchi wanapaswa kuyafahamu makundi makuu matano ya chakula na kula,sambamba na kuwa na mtindo bora wa maisha na kufanya mazoezi. Lakini pia wanapaswa kuzingatia umuhimu lishe kwa kipindi mama anapokuwa mjamzito, lishe ya mama anayenyonyesha na lishe ya mtoto mwenye umri wa chini ya miaka miwili”alisema.

Kikao hiko ni muendelezo wa vikao vya Idara ya Kilimo yenye lengo ya kutathmini utendaji na utekelezaji wa majukumu na maagizo mbalimbali ya Serikali yenye lengo la kuboresha sekta ya Kilimo.

Naye,Mkuu wa Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji Bi.Lucy Nyalu akifunga kikao hiko amewataka Maafisa Ugani hao kwenda kutekeleza maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji ambayo aliyatoa katika ufunguzi wa kikao hiko ambayo ni kusimamia kilimo cha mazao ya kikakati.

Aidha, Bi.Nyalu amewakumbusha kufuata kanuni,sheria na taratibu za Kiutumishi na suala zima la kuwapa kipaumbele wateja pindi wanapohitaji huduma kutoka kwao hasa kwa msimu huu wa kilimo ambao unaendeleo.

Wakati huo huo,Afisa Kilimo David Chilagane ametoa rai kwa Maafisa ugani kutoa kusimamia suala zima la pembejeo kwa kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu kuingiza sokoni pembejeo ambazo hazitambuliki na nyingine zimeisha muda wake wa matumizi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa