• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya Bi.Tiliza Mbula akiwaonyesha wajumbe wa Kamati hiyo picha ya hali ilivyo katika lishe.

Imewekwa : May 27th, 2020

Wakina baba watakiwa kuhudhuria Kliniki.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano)

 Rai imetolewa kwa wakina baba ya kuhudhuria Kliniki na wake zao ili kufahamu masuala muhimu ya lishe na ukuaji wa mtoto ili kuondokana na janga la utapia mlo na udumavu katika jamii zao.

Hayo yamezungumzwa na Afisa lishe wa  Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika kikao cha Kamati ya lishe kilichofanyika leo katika ofisi za Halmashauri.

Akizungumza katika kikao hiko, Afisa Lishe wa Wilaya Bi.Tiliza Mbula amesema kuwa bado kumekuwa na mwitikio mdogo wa utumiaji wa vidonge vya kuongeza wekundu wa damu katika jamii vidonge ambavyo vina Folic Acid na Madini chuma.

“Pamoja na jamii kupewa vidonge hivi katika vituo vya Afya na Zahanati lakini wamekuwa wakivitupa kwa kushawishiana wanapokuwa katika vikundi kuwa vina leta kichefu chefu”

Alisema na kuongeza kuwa

“Niombe wakina  baba wawapeleke wake zao kliniki ili waweze kuwasimamia wakati wa matumizi ya dawa hizi kwani zinapelekea kupata matokeo mazuri ya kizazi chenye tija ambacho kinaanza kujengwa siku elfu moja (1000) tangu mimba kutungwa”alisema.

Moja ya matokeo mabaya ya kutotumia vidonge vya kuongeza wekundu wa damu ni pamoja n kuzaliwa watoto wenye vichwa vukubwa au kuzaliwa mgongo wazi,hivyo wakina mama wanashauriwa kuwahi Kliniki mapema ili kumlinda mtoto ambae atazaliwa.

Kwa Upande wake Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Dkt.Samuel Marwa amesisitiza juu ya uchukuaji wa Tahadhali ya ugonjwa wa Covid 19 unasababishwa na virusi vya Corona amesema iwapo mama atakuwa na maambukizi hayo anaweza kumnyonyesha mtoto kwa kutumia titi lake iwapo halitakuwa na wadudu.

Mama atakayebainika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona hatonyenyesha moja kwa moja ili kumkinga mtoto na maambukizi badala yake,mtoto atakuwa ana kunywa maziwa kupitia chupa maalum za kunywea maziwa watoto au kikobe.

“Nasisitiza jamii kuendelea kutoa ushirikiano pindi waonapo mtu ana dalili za ugonjwa huu lakini pia kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni au kutumia kitakasa mkono mara kwa mara na uvaaji wa barakoa kwani hii itakusaidia kukukinga wewe na jamii inayokuzunguka”

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa