• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CMT Yafanya Ziara Robo ya Tatu Mwaka wa Fedha 2022/2023

Imewekwa : May 10th, 2023

CMT Yafanya Ziara kwa Robo ya Tatu Kukagua Miradi ya Maendeleo

Kamati ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, imefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo kwa Robo ya Tatu Mwaka wa Fedha 2022/2023, ambapo imeongozwa na Kaimu Mkurugenzi Ndugu Exavery Luyagaza ambaye ni Afisa Mipango na Uratibu Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ambapo ziara imefanyika tarehe 09/05/2023.

Kamati hiyo imeweza kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ikiwemo mradi wa Kinga Maji ambao unatekelezwa Kata ya Kising’a kijiji cha Ilambilole, unaofanywa na walengwa wanaosaidiwa na Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini, kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa kupewa ajira za muda. Mradi umefikia 95 %, kwani ulianza tarehe 01/03/2023 na ulipewa muda wa siku 60 tu.

Kamati pia imetembelea Kijiji cha Mangawe Kata ya Nyang’oro kwenye mradi wa utengenezaji wa barabara kwa njia ya kulima yenye urefu wa Kilometa 1.5, ambapo unatekelezwa na walengwa wa TASAF, na mradi umekamilika na kuanza kutumika.

Aidha, Kamati imeendelea kufanya ukaguzi wa miradi yake kwa kwenda kijiji cha Makuka Kata ya Izazi kwa kukagua mradi wa ujenzi wa Josho. Mradi huo unategemea kutumia kiasi cha fedha Shilingi Milioni Arobaini za Kitanzania (Tsh. 40,000,000/-) hadi kukamilika kwake. Mradi ulianza 19/03/2023 na unategemewa kukamilika 19/03/2023, mradi umefikia 50% Mradi huu umefadhiliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira (Sustainable Landscape Restoration – SLR).

Kamati pia imeweza kutembelea Kijiji cha Mnadani Kata ya Izazi kwenye mradi wa ufugaji ng’ombe watatu wa maziwa. Mradi huu unatekelezwa na kikundi cha Tumsifu ambacho ni Watu Wenye Ulemavu ambapo wapo 6, Wanaume 4 na Wanawake 2. Mradi huu ulianza 10/03/2023. Ng’ombe mmoja anategemewa kutoa maziwa lita 15 – 20 akishaanza uzalishaji.

Kadhalika Kamati imetembelea Kijiji cha Migoli kwenye mradi wa upandaji miti ya matunda, ambapo kuna miti ya malimao, machungwa, mapera na maembe. Mradi huu pia unatekelezwa na walengwa wa TASAF.

Katika Kata hiyo ya Migoli Kijiji cha Makatapola kuna mradi wa ufugaji mbuzi 95, ambao unatekelezwa na kikundi cha Nanyorai ambapo wapo 20, Wanawake 17 na Wanaume 3.

Pia Kijiji cha Mbweleli kwenye mradi wa utengenezaji barabara kwa njia ya kulima, ambao unatekelezwa na walengwa wa TASAF. Barabara hiyo ina urefu wa Kilometa 1 na imeanza kutumika, ilipewa muda wa siku 60 tu za matengenezo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa