• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CRDB Yazindua Wiki ya Huduma kwa Wateja

Imewekwa : October 2nd, 2023

CRDB Yazindua Wiki ya Huduma Kwa Wateja

Katika kufanikisha wateja wa Benki ya CRDB wanafurahia kupata huduma za uhakika na kwa haraka, Benki hiyo imefanya hafla fupi ya uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Oktoba 02, 2023 katika Tawi la Iringa Mjini.

Hafla hiyo ikiwa na Kaulimbiu isemayo “Team Service” kwa maana ya “Utoaji wa Huduma wa Pamoja” ikiwa na lengo la kuwaleta wateja kwa pamoja na kuwahudumia kwa haraka, na kutoa nafasi kwa mteja kama anahitaji huduma zaidi, maoni na ushauri.

“Mikopo kwa watumishi na wafanyabiashara imeongezwa muda kutoka miaka saba hadi tisa, ili kumrahisishia mteja aweze kulipa mkopo huo bila usumbufu. Pia huduma za Bima kwa kitu chochote iwe biashara, gari, nyumba tunatoa ili mteja atakapopata majanga katika eneo hilo basi aweze kulipwa kupitia Bima aliyokuwa anakatia”.

Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa Kanda Bi. Chabu Mishwaro alipokuwa anatoa hotuba fupi kwenye halfa hiyo. Bi. Chabu ni Meneja kwa Mikoa ya Iringa, Dodoma, Singida na Morogoro.

Bi. Chabu ameongoza kuwa, pamoja na huduma za mikopo na Bima, pia kuna huduma nyingi kama Green Bonds, uwekezaji, mrejesho wa kidigitali (Digital Feedback) na kupata faida mbalimbali. CRDB wameenda mbali zaidi na kuanzisha ATM za kuweka pesa ili kuondoa usumbufu wa mtu kukosa sehemu ya kuweka pesa bila kwenda kwa wakala

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Ndugu Leonard Masanja ambaye alikuwa Mgeni Rasmi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa katika hafla hiyo, amefurahishwa sana kushiriki katika uzinduzi huo wa Wili ya Huduma kwa Wateja na kuwasihi wananchi kuja kuwekeza katika Benki ya CRDB ili wapate faida mbalimbali.

Aidha Ndugu George Kaundama kwa niaba ya wateja wote wa CRDB, amepongeza jitihada za Benki hiyo na kushauri kuwepo na dawati la kusikiliza hoja na shauri mbalimbali kutoka kwa wateja.

Wakati huo huo, CRDB pia waliweza kuongea na Kamati ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa lengo la kuwajulisha watumishi huduma zao mbalimbali wanazotoa, na kushauri akauti za shule au miradi ziweze kufunguliwa katika Benki hiyo.

Baadhi ya Wanakamati ya Menejimenti waliweza kuuliza maswali na kutoa shauri mbalimbali katika utoaji wa huduma zao, ikiwa ni pamoja na kuomba kufungua Tawi la CRDB katika Ofisi Kuu za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa zilizopo Kijiji cha Ihemi Kata ya Mgama.                                                                                                                                                 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa