• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Kheri Aipongeza World Vision

Imewekwa : May 9th, 2024

DC Kheri Aipongeza World Vision kwa Kuwawezesha Wananchi Kiuchumi

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Kheri James ameungana na wananchi wa Kata ya Kihanga na Maboga kuadhimisha Siku ya Kilimo iliyofanyika katika Tarafa ya Kiponzero ambapo imeratibiwa na Shirika la World Vision.

Akizungumza katika Maadhimisho hayo Mheshimiwa Kheri amepongea Shirika la World Vision kwa kutoa mafunzo na mitaji kwa wananchi, kwa lengo la kuwajengea stadi za maisha na kuwawezesha kunufaika na rasilimali zilizowazunguka kuiuchumi.

Aidha Mheshimiwa Kheri amewahimiza wananchi kuendelea kulima kwa kuzingatia stadi za kilimo na ushauri wa Wataalamu ili kujipatia kipato na kupata uhakika wa chakula. Pia mavuno hayo kuyatumia kama chakula bora ili kupambana na udumavu na kuhakikisha familia zao zinakuwa na lishe bora.

Katika kufanikisha mpango wa kuimarisha mzunguko wa uchumi na kutengeneza uhakika wa soko la mazao ya wakulima, Mheshimiwa Kheri ameishauri Halmashauri kuwawezesha wakulima viwanda vidogo vya kuchakata mazao ili kuyaongezea thamani na wakulima waweze kuuza kwa bei nzuri.

Akizungumza kwa niaba ya Shirika la World Vision Meneja wa Kanda Bi. Pudensiana Rwezaura ameishukuru Serikali na wananchi wa Wilaya ya Iringa kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa katika mipango wanayoleta, na kuahidi kuimarisha ushirikiano huo ili kuendelea kusaidiana na jamii kuimarisha Sekta ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii.

Serikali katika Wilaya ya Iringa inaendelea kutambua mchango wa Wadau wa Maendeleo na inaahidi ushirikiano wa kutosha ili kuharakisha ustawi wa maendeleo ya wananchi.

“Iringa Imara, Tutaijenga kwa Umoja na Uwajibikaji”

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa