• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Kheri Asisitiza Mambo Matano Muhimu

Imewekwa : March 26th, 2024

DC Kheri, Afanya Ziara Tarafa za Kiponzero, Kalenga na Mlolo, Asisitiza Mambo Matano

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Kheri James, ameendelea kufanya ziara katika Tarafa za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kuongea na wananchi na Watumishi mbalimbali

Lengo la ziara hiyo ni kujitambulisha kama Mkuu wa Wilaya Mpya na kujionea maeneo ya utawala wake, baada ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mabadiliko katika nyanja mbalimbali za uongozi.

Katika ziara yake Mheshimiwa Kheri amesisitiza mambo matano muhimu ambayo Watumishi wanatakiwa kuyafuata katika utendaji wao wa kazi. Amesema, “Jambo la kwanza katika utendaji wa kazi ni Utawala wa Sheria, kila Mtumishi afanye kazi kwa kufuata sheria, taratibu na  miongozo tuliyojiwekea ili kuepukana na usumbufu wa hapa na pale. Mtumishi anatakiwa kufuata misingi iliyopo na kuwepo mahala pa kazi muda wote ambao anatakiwa kuwepo. Pili Haki, kila mtu atapata haki kulingana na jambo husika, hakuna mtu kuonewa au kumuonea mwingine kwa sababu hakuna mtu aliye juu ya sheria. Tatu Usawa, hii itasaidia mtu kufanya kazi kwa uadilifu bila kubaguana kabila, dini, rangi wala jinsi. Nne Maendeleo, katika kujiletea maendeleao tunatakiwa kufanya kazi kwa kushirikishana na bila kutegea na jambo la Tano Umoja na Mshikamano, katika kazi zetu tunatakiwa kushirikiana na kushikamana ili kuleta maendelea na hatimaye kufikia malengo tuliyojiwekea, amesema Mheshimiwa Kheri.

Mhe. Kheri hakuacha kusisitiza suala la lishe, amewataka wananchi kula chakula chenye mlo kamili ili kujiletea afya njema. Amesema, mtu asipokula vizuri na kukosa lishe anakosa uwezo wa kufikiri hata kushindwa kufanya kazi. Hivyo amesisitiza hasa kwa watoto wapate chakula chenye mlo kamili.

Aidha, Mheshimiwa Kheri amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Watumishi waliopo katika maeneo yao, ili wafanye kazi kwa moyo mmoja na kuwahudumia kwa upendo. Amewataka wananchi hao kutoa ushirikiano ili kama itatokea sintofahamu basi jambo hilo liweze kutatuliwa kwa pamoja.

Kadhalika Mheshimiwa Kheri aliweza kutoa nafasi kwa wananchi kuuliza maswali na kutoa kero zao, ambapo kero mbalimbali na migogoro ilitolewa na Mheshimiwa aliweza kuchukua hatua stahiki.

                                                                               

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa