• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Hadi Kufikia Machi 05, 2024 Walengwa wa TASAF Wawe Wamelipwa Fedha Zao". Mh. Simbachawene

Imewekwa : February 23rd, 2024

“Hadi Kufikia Machi 05, 2024, Walengwa wa TASAF Wawe Wamelipwa Fedha Zao” – Mh. Simbachawene.

Kauli hii imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Geroge Simbachwene alipokuwa ziarani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kukagua miradi inayotekelezwa na wanufaika wa Kaya Masikini TASAF, Februari 22, 2024.

Mheshimiwa Simbachawene amemuagiza Meneja wa Miradi Ndugu Paul Kijazi, ambaye anasimamia miradi yote inayotekelezwa na wanufaika wa Kaya Masikini ambao wapo kwenye mpango wa TASAF.

“Isizidi mwezi Machi walengwa wote wawe wamelipwa fedha zao ambazo wamezifanyia kazi kwa kubuni na kutekeleza miradi hii. Tena nimefurahishwa na utekelezaji wa miti ya matunda kwenye Taasisi kama shule. Hii itasaidia watoto kupata lishe, na kujifunza elimu ya kujitegemea. Kuanzia sasa miradi yote itekelezwe kwenye maeneo ya Taasisi ili miradi hiyo iwe endelevu”.

Mheshimiwa Simbachawene ameweza kukagua miradi ambayo imebuniwa na walengwa wa TASAF katika Kata ya Kising’a Kijiji cha Kinywang’anga ambapo kuna mradi wa birika la kunyweshea mifugo, na Kata ya Migoli ambapo kuna shamba la miti ya mtunda mbalimbali katika Shule ya Msingi Migoli.

Aidha ameendelea kusema, “kwa wale ambao wameshapata unafuu wa maisha basi wanaweza kujiondoa na kuwapisha wengine ili nao wanufaike na kujikwamua katika mpango huu. Mpango huu husaidia sana wenye ulemavu katika kaya masikini hivyo wapewe kipaumbele”.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa amepata nafasi ya kuwasilisha ombi la kibali cha Ajira kwa Watendaji wa Vijiji, kwani Halmashauri inakabiliwa na uhaba mkubwa wa Watendaji, zaidi wa Vijiji 30 havina Watendaji.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa