• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAVUTIA WAWEKEZAJI

Imewekwa : April 4th, 2025


Maofisa kutoka Kituo cha Ubia Baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Partinership Center - PPPC), wametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa ajili ya kupitia maeneo ya uwekezaji, kuvutia Wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania.

Maafisa hao ni Dr. Moshi Derefa na Bi. Ziada Saburi wamefanya ziara hiyo Aprili 04 - 05, 2025 kwa kuongozwa na Maafisa wa Uwekezaji kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Awali Maafisa hao walitoa mafunzo ya dhana ya PPPC  kwa Maafisa Biashara na Uwekezaji, na kusema kuwa, Taasisi inatakiwa kuibua miradi yenye sifa kwa utaratibu wa PPP, kuandaa maandiko ya miradi itakayopendekezwa, kuandaa matangazo ya miradi kwa ajili ya kupata wawekezaji, na kuweka miradi kwenye ramani ya Halmashauri.

Maeneo waliyotembelea ni pamoja na Kata ya Migoli Kijiji cha Migoli kwenye Soko la Samaki kuwekeza Kiwanda cha Kuchakata Minofu ya Samaki. Eneo lipo pembezoni mwa Bwawa la Mtera. Kata ya Nduli kwa ajili ya ujenzi wa Hoteli ya Kitalii, eneo lipo pembezoni mwa barabara ya Iringa - Dodoma, Kata Kising'a Kijiji cha Igingilanyi eneo la mapumziko, burudani na michezo mbalimbalu, pia eneo la ujenzi wa kituo cha mafuta. Kata ya Kitanzini ujenzi wa Hosteli na Kata ya Makorongoni ujenzi wa Hoteli (Lodge) na vyumba vya maduka, Kata ya Gangilonga eneo la Posta ujenzi wa nyumba yenye vyumba vya ofisi, eneo karibu na Siasa ni Kilimo ujenzi wa kumbi za mikutano.

Kata ya Nyang'oro kwenye msitu wa asili kwa ajili ya kuhifadhi hewa ukaa, Kata ya Itunundu Kijiji cha Igodikafu ujenzi wa kiwanda cha kukoboa na kupaki mchele pia kilimo cha miwa. Kata ya Idodi kijiji cha Tungamalenga kilomita 10 kufikia lango la kuingia Hifadhi ya Ruaha, ujenzi wa Hoteli ya Kitalii, Kata ya Ulanda Kijiji cha Kikongoma chenye historia muhimu ya Chifu Mkwawa na Mama yake, chemchem ya maji ya moto, ujenzi wa Hoteli ya Kitalii na Kata ya Kalenga Kijiji cha Kalenga ujenzi wa Shule ya Msingi yenye Mtaala wa Kiingereza, eneo lipo pembezoni mwa barabara ya kwenda Mbuga ya Ruaha.

"Tumia Fursa, Karibu Uwekeze Halmashauri ya Wilaya ya Iringa"


@ortamisemi

@wizaraadedha

@pppenter

@rsiringa

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI MAKATAPOLA

    May 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa