• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Hatimaye Barabara ya Ipogolo - Kilolo Yapata Mkandarasi wa Uhakika

Imewekwa : October 5th, 2023

Hatimaye Barabara ya Ipogolo – Kilolo Yapata Mkandarasi wa Uhakika

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. Innocent Bashngwa (MB), Oktoba 05, 2023 ameshuhudia zoezo la utiaji saini mkataba wa ujenzi wa barabara yenye urefu w Km 33.61 kwa kiwango cha lami, ambayo inatoka Iringa Ipogolo kwenda Wilaya ya Kilolo itakayogharimu zaidi ya Tsh. Bilioni 60.144.

Akizungumza katika hafla hiyo ya utiaji saini Mhe. Bashungwa amesema kuwa, Wilaya ya Kilolo ni Wilaya iliyojikita katika uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula, hivyo barabara hiyo italeta mageuzi makubwa katika Sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Kilimo ambapo wakulim na wafanyabisahra watasafirisha bidhaa salama na kwa wakati. Pia utavutia wawekezaji kuwekeza Wilayani humo.

Aidha Mh. Bashungwa amesema, suala la barabara hiyo imekuwa ni kilio cha muda mrefu sana kwa wananchi wa eneo hilo, hivyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshapata mwarobaini wa kilio hicho. Sasa wana Kilolo wazidi kufanya kazi mambo mazuri yanakuja.

Akitoa taarifa ya Mkoa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Omary Dendego ametoa shkurani kwa Rais  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta miradi mingi ya maendeleo, ambapo kupitia miradi hiyo wananchi wengi wamepata ajira.

Mradi huu ni moja ya miradi ambayo inatekelezwa na Serikali ikishirikiana na Benki ya Dunia kupitia Program ya Roads to Inclusion and Social Economic Opportunities (RISE), ambapo kukamilika kwa barabara hii utaleta ufanisi mkubwa katika Sekta ya Usafirishaji.

Naye Meneja wa Wakala wa Barabara Mkoa Iringa (Tanroads) Ndugu Mohamed Besta ameahidi kusimamia vizuri ujenzi wa barabara hiyo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa