• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

IBO ITALIA YAWATOA KIMASOMASO SHULE YA MSINGI KIDAMALI

Imewekwa : May 17th, 2024


Ibo Italia ni Shirika la Kiitalia ambalo ni Mdau mkubwa sana kwa Mkoa wa Iringa katika kusaidia mambo mbalimbali.

Mei 17, 20204 Shirika hilo limekabidhi majengo ya vyoo vyenye matundu 16 vya wanafunzi, (Wasichana matundu 8 na Wavulana matundu 8), Shule ya Msingi Kidamali Kata ya Nzihi, ambapo mradi huo umetekelezwa kwa kushirikiana na mashirika ya Call Africa, na COPE ambayo yenye Makao Makuu yake nchini Italia.

Akitoa taarifa ya mradi huo Afisa Mradi Ndugu Elikana Katambi amesema kuwa, mradi umetumia kiasi cha Shilingi Milioni 82.62 na sasa mradi umekamilika kwa 100%.

Akitoa shukrani kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mwal. David Mlowe amesema, anawashukuru Ibo Italia kwa kujitolea kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo kutoa gari aina ya Hice kwa ajili ya wanafunzi wa Mahitaji Maalum wa Shule ya Kipera.

Ameongeza kusema kuwa, gharama zilizotumika katika mradi ni kubwa sana, hivyo amewaomba wananchi na wanafunzi kuutunza mradi huo kwa kufanya usafi. Pia kuweka mpango wa kimkakati kwa kuchangia ili kuendeleza mradi huo kwa ajili ya malipo ya umeme na maji,

Aidha, Ndugu Mloewe amesema kuazisha Clabu ya SWASH ambayo itakuwa Balozi katika kusimamia suala zima la usafi na kuripoti uharibufu ambao utaweza kutokea katika mradi huo wakati ukiendelea kutumika.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Kidamali amesema, kushukuru ndiyo kuomba tena, hivyo ameomba Shirika kujengewa vyoo vya Walimu, kwani kwa sasa Walimu hawana sehemu maalum ya kujisitiri.

Kadhalika Mhandisi wa vyoo hivyo ameomba uongozi wa Shule na Kijiji kuondoa/kukata miti ambayo ipo jirani na mradi huo ili isilete uharibifu kama kudondokea katika majengo hayo au kupukutisha majani na kuchafua mazingira

 

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa