• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Jukwaa la Mafanikio Wilaya ya Iringa, Yaing'arisha Iringa

Imewekwa : November 28th, 2024

Jukwaa la Mafanikio Wilaya ya Iringa, Yaing’arisha Iringa

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James, amezindua Jukwaa la Mafanikio la Wilaya ya Iringa ambalo linahusisha Taasisi zote za Iringa kwa kutoa taarifa kwa wananchi wake ili wafahamu nini Serikali inafanya katika kuwaletea maendeleo.

Jukwaa hilo limezinduliwa Novemba 21, 2024 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambapo limekuwepo kwa muda wa siku sita mfululizo na pia litaendelea kila mwezi katika kutoa taarifa zake.

Akitoa hotuba yake katika Uzinduzi wa Jukwaa hilo Mhe. Kheri amesema, “Jukwaa hili ni kwa ajili ya kuhabarisha Umma, na kuondoa urasimu kwa wananchi, pia kutoa taarifa sahihi zinazofanywa na Taasisi ndani ya Wilaya. Wananchi wanapokuwa na taarifa sahihi wanafahamu vizuri juu ya nini Serikali inafanya, pia ni njia ya kuisogeza Serikali kwa wananchi”.

Mhe. Kheri ameendelea kusema, “Hapa tutafahamu kama kero za wananchi zinaifikia Serikali na zinatatuliwa kwa wakati kama barabara, Tanesco, maji nk. Kupitia Jukwaa hili tutaijenga Iringa kwa Umoja na Uwajibikaji, na kwamba kila mwisho wa mwezi Taasisi zote tutakutana hapa na kuweza kutoa taarifa zake, hivyo itasaidia kuwa Iringa ya mfano”.

Katika Jukwaa hilo wageni mbalimbali wamealikwa kwa makundi ili kuja kujionea Serikali ya Awamu ya Sita inatekeleza kwa kiasi gani katika kuwapatia wananchi wake maendeleo.

Taasisi zilizohusishwa katika Jukwaa hilo ni Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Wakala wa Barabaza Tanzania (TANROADS), Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA), Mamlaka ya Maji Mjini (IRUWASA), Mamlaka ya Maji Vijijini (RUWASA), Umwagiiaji, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tanesco, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Taasisi hizo zote zimepata nafasi ya kutoa taarifa ya nini kinafanyika, ili kuwapa wananchi upeo wa kufahamu na haki ya kupata taarifa kwa kila Taasisi.

Wageni walihudhuria na kupata nafasi ya kutembelea miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa na Serikali, pia walipata nafasi ya kuuliza maswali mbalimbali na kutolewa ufafanuzi.

“Iringa Imara, Tutaijenga kwa Umoja na Uwajibikaji

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa