• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Siasa Wilaya ya Iringa Yaridhishwa na Utekelezaji wa Miradi

Imewekwa : January 27th, 2024

Kamati ya Siasa Wilaya ya Iringa Yaridhishwa na Utekelezaji wa Miradi

Kamati ya Siasa Wilaya ya Iringa imefanya ziara kukagua miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Januari 26, 2024. Hatua hii imefikia katika kuonesha utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kama Ilani inavyowahitaji kufanya hivyo.

Akitoa taarifa ya mradi katika Hospitali Teule ya Tosamaganga, Ndugu Agrey Mgeni Afisa Utumishi wa Hospitali hiyo amesema, “ hospitali hii ilianza kujengwa mwaka 1965 na kukamilika mwaka 1968 na vijana wa kundi la Manitese toka Torino Italia na Wamisionari wa Shirika la B.M. Consolata, na ilizinduliwa rasmi na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere Februari 17, 1970”.

Ndugu Mgeni ameendelea kusema kuwa, Hospitali imekua na kufikia hatua ya kutoa huduma za kibingwa, na bobezi na hivyo kusaidia wananchi wengi kupata huduma badala ya kwenda kutibiwa Mikoa mingine”. Amesema, kwa mwaka hospitali inahudumia wagonjwa katika 62,000 hadi 78,000 ikiwa ni wagonjwa 7,000 hadi 8000 ni akina mama wajawazito na watoto kwa kuwa huduma hizi ni karibu na bure”.

Aidha, Hospitali imeweza kununua mashine ya mionzi (CT Scan) kwa ajili ya kupima wagonjwa waliopata madhara kichwani. Hivyo kusaida wagonjwa wengi wanaokuja hapo wakiwa wamepata ajali mbalimbali.

Uongozi wa Hospitali hiyo wametoa ombi lao kwa Kamati hiyo kuwa, wanaomba wapewe laini ya umeme ya pekee kama hospitali  ili kuokoa maisha ya wagonjwa hasa wanaohitaji oksijeni zinazoteemgea umeme. Na Kwamba wanaaomba mradi wa umeme ulioachwa na Serikali kwa miaka mingi ambao ulikuwa unazalisha KWV 60.

Pia wamewasilisha ombi la kujengewa Kituo cha Polisi kwani eneo hilo liko kando na Mji hivyo kuwepo na ulinzi wa kutosha. Kadhalika ombi la kusamehewa deni wanalodaiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ambao ni zaidi ya kiasi cha Shilingi Milioni 200 zinadaiwa.

Naye Mwenyekiti wa Kamati hiyo Komredi Costantine Kihwele amesema, “nawapongeza kwa kutoa huduama nzuri hapa hospitali na kwamba mgonjwa hupona kwa kauli nzuri na kisha dawa zinamalizia. Naomba mashine hii itunzwe ili idumu muda mrefu”.

Naye Mjumbe wa Kamati hiyo Ndugu Stanslaus Mhongole amekiri kuwa kuna chanzo ambacho kilikuwepo cha kuzalisha umeme, na kwamba ni suala la kukarabati tu miundombinu yake na tatizo hilo linaweza kuisha.

Ziara imeendelea hadi katika shule mpya ya Sekondari ya Weru iliyopo katika Kata ya Ulanda.

Shule hiyo ya Weru imeanza Kidato cha Kwanza Januari 08, 2024 na hadi sasa wanafunzi 128 wameripoti kati 148 waliopangwa shuleni hapo.

Kamati imeridhishwa na miradi hiyo na kupongeza uongozi wa Halmashauri ambao unaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Wakili Bashir Muhoja kwa kuendelea kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa