Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Iringa yakamilisha ziara kukagua utekelezaji wa Ilani Iringa DC
Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi Iringa vijijini yakamilisha ziara yake siku ya pili tarehe 22.08.2023 kukagua utekelezaji wa Ilani kwenye tarafa ya Isimani, na Pawaga – Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.
Miradi iliyokaguliwa ni;
Kamati imeridhishwa na utekelezaji wa Ilani kupitia miradi iliyotembelewa. Aidha Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Iringa Vijijini ndugu Costantino kihwele ametoa pongezi kwa viongozi na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kwa taasisi zingine za serikali kwa kazi kubwa inayofanywa na kutoa Wito wa kutunzwa kwa wannchi kuitunza ili ilete matokeo kusudiwa.
Mtaa wa Gangilonga
Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa
Simu ya mezani: 026-2702828/2702585
Simu ya mkononi: 0767778106
Barua pepe: ded@iringadc.go.tz
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa