• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi ikiongozwa na Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa,wakati wa ziara ya kukagua miradi januari 10 mwaka huu 2022.

Imewekwa : January 11th, 2022

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Iringa yamuelewa Rais Samia.

Na Maafisa Habari (Iringa -DC)

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi jana imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali iliyotekelezwa na serikali ya awamu ya sita huku wakimpongeza Mh.Rais kwa jitihada zake za kuboresha Sekta za Afya na Elimu.

Akizungumza baada ya kukagua miradi hiyo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh.Costantino Kihwele amesema pamoja na miradi hiyo mizuri na kukamilika kwa wakati ni jukumu la kila mmoja kuitunza lakini kubwa Zaidi wanafunzi ambao ni walengwa kuhakikisha wanayatumia madarasa hayo.

“Mh.Rais atafarijika akisikia madarasa aliyoyaleta katika maeneo yetu yanatumiwa na watoto, ambao wamefaulu na kuchaluliwa kujiunga na darasa la kwanza kwa shule shikizi na kidato cha kwanza kwa shule za sekondari”alisema.

Naye Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mh.Gama J.Gama amewataka viongozi wa Chama hiko katika kazi za kata na vijiji kuendelea kuwahimiza wananchi kuibua miradi katika maeneo yao ili serikali yao iweze kuona na kuwashika mkono.

“Ndugu zangu siku zote ili uweze kupata fedha za serikali kwa haraka ni lazima kuwepo na jitihada za maendeleo ambazo ninyi wananchi mmeanzisha na serikali yenu sikivu ya Chama Cha Mapinduzi itawaletea fedha za kumalizia miradi mlioanzisha”alisema na kuongeza;

“Waambieni wananchi kuwa sasa hivi miradi inayoendelea katika maeneo yao wanapaswa kushiriki na kujitolea miradi ambayo ilikatazwa kuchangia ni miradi ya UVIKO-19 amabyo imeshakamilika na itaanza kutumiwa tarehe 17 mwezi huu wa Januari”alisema.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa