• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Siasa ya Mkoa Yapongeza Miradi Inayotekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Imewekwa : February 19th, 2023

Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa, Yapongeza Utekelezaji wa Miradi Inayoendelea Kutekelezwa Halmashauri ya wilaya ya Iringa

Kamati ya Siasa ya Mkoa imefanya ziara na kukagua miradi inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri. Kamati hiyo imefurahishwa na utekelezaji mzuri wa miradi hiyo, na kuona changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi.

Baadhi ya Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi mkubwa wa ujenzi wa mfereji wa umwagiliaji katika Kata ya Itunundu na Mboliboli, Shule mpya ya Sekondari ya Mlenge inayojengwa kwa mradi wa SEQUIP, Hospitali ya Wilaya ya Iringa ambapo Kamati iliweza kufanya usafi kwa baadhi ya maeneo na jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambalo limejengwa Kata ya Mgama.

Kamati hiyo imesifia miradi inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri, na kuwataka wananchi na watumishi waendelee kuunga mkono jitihada za Serikali kupitia Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajibika kila mtu katika eneo lake na kuondoa kero mbalimbali.

Akitoa Hotuba yake wakati wa majumuisho baada ya ziara Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wa Mkoa Mheshimiwa Daud Yassin Mlowe amesema, “ili Chama kifanye vizuri, kinategemea mahusiano mazuri na Watumishi wa Serikali, hivyo watumishi wasikwamishe huduma kwa wananchi na kupelekea kuichukia Serikali. Dosari ndogondogo zipo lakini zinarekebishika, hivyo sisi kama Serikali tusichochee wananchi kuichukia Serikali, kwani Serikali ina upendo mkubwa sana kwa wananchi wake na kupelekea kuletwa fedha nyingi kwa ajili ya miradi”.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego amesema, “tunashukuru Kamati ya Siasa ya Mkoa kwa kufanya ziara na kutembelea miradi, kwani kufanya hivi kunatuongezea nguvu kubwa ya kufanya kazi. Sisi wajibu wetu ni kutenda kazi ya kuwahudumia wananchi, kwani sisi sote ni ndugu, pia kuendeleza agenda za Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kama “Kumtua Mama Ndoo Kichwani, Kilimo, Elimu”.

Pia Mheshimiwa Dendego ametoa agizo kwa Mkurugenzi kuwa, wanafunzi wa Kidato cha Pili wa Shule ya Sekondari Pawaga ambao wanatokea Kata ya Mlenge wahamishiwe katika Shule mpya ya Sekondari Mlenge ili kuwapunguzia umbali wa kwenda na kurudi shule.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa, amefurahi kuona viongozi wa Chama cha Mapinduzi kutembelea miradi na kujionea mafanikio na changamoto mbalimbali. Na kwamba Chama ndiyo Kiongozi hivyo tupo tayari kupokea maelekezo.

Mheshimiwa Mhapa pia amewapongeza watumishi kwa kufanya kazi vizuri wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Wakili Bashir Muhoja.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa