• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Ushauri ya Wilaya - DCC Yajadili Mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti

Imewekwa : February 15th, 2023

Kamati ya Ushauri ya Wilaya Yajadili Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024

“Bajeti imekaa vizuri na ni rahisi kutekelezeka, hivyo nawasihi kusimamia miradi kama ilivyopangwa na kutumia pesa kwa kadiri ya matumizi yalivyoainishwa”.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy, wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) cha tarehe 15/02/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo kwa ajili ya kuchambua na kujadili Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Awali akifungua kikao hicho ambacho Mwenyekiti ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh. Kessy alikuwa na haya ya kusema,” kikao hiki ni kwa ajili ya agenda moja tu ambayo ni mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 kwa Halmashauri hii, hivyo nawasihi muwe watulivu na kuchangia mada”

Mhe. Kessy ameongeza kusema kuwa, “pamoja na kujadili Bajeti natoa nasaha zangu kwenu kuwa, nawasissitiza wananchi kupanda miti hasa kipindi hiki cha mvua. Ndani ya misitu wekeni mizinga ya nyuki ili muweze kuvuna asali, ambapo mwisho wa siku itaingiza kipato kwa jamii. Miti huongeza na kuvuta mvua, hivyo kufanya Bwawa la Mtera kujaa, ambapo litazalisha umeme bila tatizo”.

“Vichimbwe visima vifupi kwa ajili ya kufanya umwagiliaji wa mbogamboga kwani kilimo cha pembezoni mwa vyanzo vya mito ni tatizo na kufanya mito kukauka kwa haraka. Bustani za nyumbani ni nzuri sana hasa kwa lishe na kutatua gharama ndogondogo. Pamoja na haya usafi wa mazingira ni muhimu katika maeneo yetu”. Amesema Mh. Kessy.

Aidha Mheshimiwa Kessy hakuacha kusisitiza suala la wanafunzi wanaotakiwa kuanza Kidato cha Kwanza, na kusema kuwa kama mtoto hajaripoti hadi sasa mzazi/mlezi lazima achukuliwe hatua na atoe sababu za kwa nini mwanafunzi hajaripoti, na kuhitaji hadi kufikia tarehe 20/02/2023 wanafunzi wanaohitaji kuanza Kidato cha Kwanza wawe wamefikia 95%.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa, Comredi Costatino Kihwele amemshukuru Mkuu wa Wilaya Mh. Kessy na kumuhakikishia usalama wa Wilaya na kwamba Chama kipo tayari kupokea maelekezo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa amesema, anamshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Mh. Kessy kuja kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, na kuahidi kutoa ushirikiano katika utendaji kazi.

Baada ya hotupa fupi ya viongozi hao Afisa Mipango wa Wilaya Ndugu. Xavery Luyagaza, aliwasilisha Mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa