• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KATIBU MKUU KILIMO

Imewekwa : September 8th, 2020

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo aishika mkono Iringa DC

Na Ummi Mohamed (Afisa habari na Uhusiano,Iringa –DC)

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika Bw.Gerald Kusaya amewaagiza Maafisa Umwagiliaji kutoka ofisini kwake kwenda kuongeza kasi ya ujenzi na upembuzi ya kinifu katika skimu za umwagiliaji zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Kauli hiyo ameitoa Septemba 4 alipofanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Iringa na kuangalia uharibifu ulisababishwa na mvua zilizopita kiasi zilizonyesha katika msimu wa 2019/2020 katika Tarafa ya Idodi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Akisoma taarifa fupi ya kilimo,umwagiliaji na ushirika kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Afisa kilimo wa Wilaya Bi.Lucy Nyalu alisema katika skimu kumi na nne zilizoathiriwa na mvua hizo skimu ya Mkombozi,Mlenge, Magozi na Luganga zimeathiriwa zaidi na kupelekea mto kuhama katika njia yake ya asili na kwenda katika mashamba ya wakulima.

Alisema msimu wa 2019/2020 hali ya upatikanaji wa mbolea ilikuwa ya kuridhisha mbolea ya kupandia ya DAP nay a kukuzia UREA ziliuzwa kwa mfumo wa bei elekezi, kwa msimu wa 2019/2020 mahitaji ya mbolea kwa halmashauri ilikuwa tani 8,717 ambapo DAP tani 2,740,UREA tani 1,985,CANtani 1,250 NPK tani 2,586 na SA156.

Bw.Kusaya alipokea taarifa hiyo na kuahadi kutoa kiasi cha shiringi milioni 350 na wataalam katika Wizara yake ili kazi hiyo ya upembuzi yakinifu katika skimu ya Mkombozi iliyotengewa milioni mia moja ifanyike kwa haraka na ubora unaolingana na ferdha inayotolewa na serikali.

Aidha katika skimu ya Mlenge Bw.Kusaya ametoa fedha za ukarabati ambazo zote kwa pamoja zinafanya jumla ya milioni350 ambazo ameahidi kurudi baada ya wiki mbili ili kuangalia maelekezo yake kama yanatekelezwa ipasavyo.

“Kazi zote katika hizi skimu nne yaani Mkombozi,Mlenge,Magozi na Luganga zitaanza kufanyiwa ukarabati,matengenezo na upembuzi yakinifu Jumatatu ya 7Septemba mwaka huu wa 2020 ili wananchi hawa waweze kuendelea na shughuli za kilimo katika msimu wa mwaka huu 2020/2021 hasa kwa kuzingatia eneo hili lina asili ya ukame kwa kipindi kikubwa”alisema Kusaya.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bw.Bashir Muhoja ameishukuru Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika kupitia kwa Katibu Mkuu kwa kuona na kusikia kilio cha wakulima wanaotumia skimu hizo kwani kwa msimu wa 2019/2020 hawakupana mavuno mengi.

“Katibu Mkuu nakushukuru wewe na Wizara yako kwa kutuona na kutushika mkono sisi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kutupatia kiasi cha milioni 350 ili kuboresha na kuimarisha miundombinu ya skimu za umwagiliaji kama ulivyosikiam wakulima wangu wa Magozi wamevuna 2% tu kutokana na mvua kubwa za msimu 2019/2020 na kuharibu mashamba”alisema na kuongeza;

“Halmashauri itatoa walaam wake wote wa umwagiliaji na wengine watakaohitajika katika suala hili la uimarishaji na ukarabati wa skimu ili kazi ifanyike kwa ubora na kwa muda mfupi kama unavyoelekeza Katibu Mkuu”alisema Bw.Muhoja.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa