• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Afanya Ziara Iringa DC

Imewekwa : February 29th, 2024

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Afanya Ziara 

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Mary Maganga amefanya ziara na kukagua mradi wa “Uarejeshaji Endelevu Mazingira na Uhifadhi wa Bayoanuai Tanzania, ambao unatekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika Kata ya Nzihi Kijiji cha Ilalasimba, Februari 28, 2024.

Katika ziara hiyo Bi. Maganga huyo ameweza kujionea shughuli zilizotekelezwa katika Kijiji hicho ya kuhifadhi misitu ili kurejesha na kuhifadhi mazingira, pia amejionea vikundi mbalimbali zinazofanya shughuli zakuhifadhi mazingira na kuweka mashamba darasa na kufuga.

Katika kijiji hicho cha Ilalasimba kuna msitu wenye ukubwa wa Hekta 2,106.03 ambazo sawa na Ekari 5,204.11 zinazohifadhiwa kwa ajii ya kuboresha mazingira yaliyoharibiwa na tabianchi.

Kuna kikundi cha Israel ambacho kimeanzisha shamba darasa la mazao ya mahindi na maharage na wananchi wanaenda kujifunza hapo, kuna kikundi cha Agape nao wameweka shamba darasa la nyasi za kulisha mifugo, Kijiji cha Magubike ambako kuna msitu wa uliohifadhiwa.

Aidha, Bi. Maganga ameweza kufika hadi katika Kiwanda cha Virdium kinachotengeneza mkaa kwa kutumia nyasi, kwa lengo la kuhifadhi mazingira bila kukata miti.

Bi. Maganga ameongozana na Kamati Kuu ya Kuhifadhi Mazingira na kuridhishwa na mradi huo. Pia ameweza kutoa maelekezo kuwa, amesisitiza watendaji wawe wanaweka kumbukumbu sahihii za kimaandishi kwa hatua ya mradi (Documentation) ili vizazi vijavyo waweze kujifunza kupitia kumbukumbu hizo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, amemshukuru Bi. Maganga kwa ujio wake na kukagua shughuli za uhifadhi, na ameomba kuwezeshwa kuhifadhi msitu wa Milima ya Nyang’oro iliyopo Kata ya Nyang’oro ili waweze kuwa na uhifadhi enedelevu.

Bi. Maganga amewashukuru wajumbe na wananchi wa Kata ya Nzihi kwa kukubali kuhifadha shughuli za uhifadhi mazingira.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa