• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA KUJADILI MAPOKEZI YA FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA KIDATO CHA KWANZA 2023

Imewekwa : October 8th, 2022

Nendeni Mkawajibike"- Muhoja

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja ameongoza kikao cha kujadili, kupokea maelekezo na ushauri juu ya mapokezi ya fedha kiasi cha Tsh 980,000,000/=  kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza 2023.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmshauri ya Wilaya ya Iringa (Siasa ni Kilimo) na kimekutanisha Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji Kata, Maafisa Elimu Kata, Baadhi ya Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari pamoja na Maafisa Tarafa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Akifungua kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji Wakili Muhoja ambae pia amekuwa Mwenyekiti wa kikao amesema ameliita jeshi lake na anahitaji kuzungumza nao ili waweze kujipanga kwa lengo la kuaza kukimbizana na masuala ya ujenzi wa madarasa hayo.

Aidha amesema kuwa anataka kila mmoja afanye kazi kwa nafasi yake, kusiwepo na kutegeana kila mmoja akitimiza wajibu wake kutakuwepo na matokeo chanya.

"Ninawataka kila mmoja awe na taarifa kamili ya kile kinachoendelea katika ujenzi wa madarasa haya, Hamtakiwi kuwa nyuma ili hata unapoulizwa uwe na kitu cha kujibu".

Pia amewataka Watendaji kujitoa zaidi kufanya kazi kwa moyo na pale inapotokea kuna changamoto yoyote basi ni vyema kuwasiliana ili kuweza kutatua changamoto hiyo na sio kukaa nayo binafsi."

Tukisaidiana wote kazi hii itakuwa rahisi, Ninawaomba sana tujitoe ili tuweze kufikia malengo tumepewa siku 75 tu, Mwaka huu sitaki kusikia masuala ya upungufu wa vifaa mjipange mapema ili mjue namna ya kutatua changamoto za vifaa".

Kadhalika amesema kuwa wananasiasa ni sehemu ya Mradi huu hivyo amewataka kuwapa ushirikiano wanasiasa wote watakaohitaji kufahamishwa juu ya maendeleo ya mradi, ametaka wasiwaache nyuma wapewe majibu kwa yote watakayohitaji kufahamu.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi Dismas Mwakisambwe amesema kuwa kwa namna yoyote ile lazima Mradi huu utimie hivyo amesena licha ya uchache wa fedha hivyo amewataka kutumia vifaa vilivyobakia wakati wa ujenzi wa madarasa kwa mwaka uliopita ili kuweza kufikia malengo.

Amewataka pia Watendaji, Wakuu wa Shule kuzingatia ushauri wa wataalamu na pale kunapotokea shida yoyote ya kitaalamu basi wasisite kuuliza. Licha ya kuwepo kwa umbali amewataka kutumia hata njia ya simu ili kutatua tatizo hilo kwa haraka zaidi ili kuepusha  kupoteza muda.

"Tuepuke njia ya mkato lazima wataalamu wanapotoa ushauri basi muufuate maana hao ndio wanaofahamu mambo hayo, lakini pia lazima tufuate utaratibu tusipendelee kutumia njia ya mikato lazima tufuate utaratibu hata kama itachukua muda".

Kadhalika amewataka kutumia nyaraka na viambatanisho ili kuwepo kwa taarifa kamili ya Utekelezaji wa miradi hiyo kuanzia mwanzo mpaka hatua ya mwisho.

"Ni lazima kuwepo na vitabu vya kupokelea vifaa, vitabu kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu, matumizi ya kila siku pamoja na wageni wote wanaohudhuria katika maeneo ya utekelezaji".

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepokea kiasi cha Tsh 980,000,000= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 49 vya madarasa katika shule 23, ndani ya Halmashauri.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa