• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kikao cha Walimu Kupeana Mikakati ya Ufaulu

Imewekwa : September 10th, 2022

Kikao kazi kwa watendaji wa elimu ngazi ya Shule, Kata na Halmashauri tarehe 9/9/2022

kuweka mikakati ya kuinua ubora wa elimu. 

Kikao hicho ambacho kimefanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Tosamaganga, kilikuwa na dhumuni la kujadili changamoto za kuinua kiwango cha ufaulu. Katika kikao hicho ziliibuka changamoto nyingi ikiwemo ya uhaba wa walimu, umbali kutoka makazi ya watu na shule, utoro wa wanafunzi, wazazi kutokuwa tayari kuchangia chakula pamoja na baadhi ya Walimu hawana ari ya kufanya kazi na kutokaa kwenye vituo vyao vya kazi.

Akiongea kwenye kikao hicho Afisa Elimu Ndugu Sylivester Mwenekitete amesema “Kutokana na kushuka kwa ufaulu sisi kama Watendaji tunatakiwa kuzingatia usimamizi wa ufundishaji, kuanzia maandalizi, kabla ya kwenda kufundisha na kuhakikisha kama Mwalimu anafundisha au hafundishi”, kwani hii itasaidia kila mwalimu kujua wajibu wake”.

Pamoja na hayo Mwenekitete ameoza kusema kuwa, wanafunzi wanatakiwa kufanya mitihani ya mara kwa mara kwa kufuata mpangilio sahihi (format), na matumizi ya lugha ya Kiingereza katika ufundishaji. Pia Mwenekitete amewatia moyo walimu na amewasihi kufanya kazi kwa bidi.

Naye Afisa Utumishi na Utawala Bi. Beatrice Augustine amesema, “kwa upande wa likizo za uzazi ni haki ya kila mtumishi. Kupewa likizo ya uzazi mara baada ya kujifungua, ambapo kwa mtoto mmoja ni siku 84 na watoto wawili ni siku 98, hii ni kwa upande wa wanawake. Pia mwanaume anatakiwa kupewa likizo ya siku tano mara baada ya mke wake kujifungua, ambapo ruhusa hizi/likizo zinatakiwa zianzie kwa Mkuu wa Shule”.

Bi Beatrice ameongeza kusema kuwa, ikiwa imetokea mtoto amefariki baada ya kujifungua mtumishi hatasubiri miaka mitatu ili kupewa likizo nyingine, bali atakaa hadi akipata mtoto mwingine atapewa likizo kama kawaida hata kama ni ndani ya mwaka mmoja tangu alipopata likizo ya uzazi.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja ametoa pongezi kwa Walimu kwa kuhudhuria kikao. Pia alitoa ufafanuzi wa changamoto zinazokabili shule mbalimbali ikiwemo kwa Walimu kutokaa katika Vituo vyao vya Kazi kuwa ni tatizo sugu.

Aidha amewaomba Walimu kuweka jitihada katika ufundishaji katika kipindi hiki cha kuelekea mitihani ya mwisho ya Kidato cha Nne, pia Kidato cha Pili, kwani bado wanauwezo wa kufanya vizuri kwa muda uliobaki na kuinua ufaulu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - MBOMIPA March 18, 2023
  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA ROBI YA PILI KWA MWAKA FEDHA 2022/2023. January 16, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA IRINGA December 14, 2022
  • Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA IRINGA AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU

    March 24, 2023
  • WATENDAJI KATA WILAYANI IRINGA WAAGIZWA KUSIMAMIA UTOLEWAJI WA CHAKULA SHULENI

    March 20, 2023
  • ZAIDI YA MADAWATI 162 YATOLEWA KWA SHULE YA SEKONDARI KIDAMALI NA SHAFA AGRO COMPANY LIMITED

    March 18, 2023
  • Maandalizi ya Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023

    March 14, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA POLIO, DALILI NA NJIA ZA KUJIKINGA
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa