• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

Imewekwa : May 9th, 2025

“Kila Kata Wekeni Mikakati Maalum ya Kupunguza Hali Duni ya Lishe” – Mhe. Kheri James

Kikao cha Robo ya Tatu cha Tathmini ya Mkataba wa Hali ya Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kimefanyika leo Mei 09, 2025 katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Iringa.

Moja kati ya maagizo katika kikao hicho ni kuwa Mhe. Kheri amewataka Watendaji wa Kata kuweka mikakati maalumu ya kupunguza hali duni ya lishe katika Kata zao kwa kutoa elimu kwa jamii hadi mashuleni.

Mhe. Kheri amesema pia, katika mikutano ya Kata kwa wananchi lazima iwepo agenda ya kudumu ya lishe, Vongozi wa Dini na Serikali waweze kutoa elimu kwa jamii juu ya umhimu wa lishe bora.

Kadhalika Mhe. Kheri amesisitiza kuwa watoto wajifunze namna ya kuandaa lishe bora wenyewe kwa kuwa wamejinza kutoka shuleni.

Hata hivyo Mhe. Kheri amewaonya Watendaji kuwa, kusiwepo na alama nyekundu ya kuonesha udhaifu wa lishe katika Kata yake, ikitokea basi Mtendaji huyo aandike barua mwenyewe ya kuchukuliwa hatua.

Mhe. Kheri amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kwa kufanya vizuri katika masuala ya usafi na kuifanya Halmashauri kushika nafasi ya Pili Kitaifa, na pia amepongeza kwa kusimamia miradi vizuri na kufanya Mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru kufurahia miradi iliyokagaliwa na kufunguliwa.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mhe. Stephen Mhapa amewaambia Watendaji wa Kata kuwa, “endeleeni kuzingatia maelekezo yanayotolewa na Mhe. Mkuu wa Wilaya hasa kwenye suala la muda. Kwamba mmepewa nafasi hizi kwa Imani hivyo mkafanye kazi kwa uaminifu. Pia tuendelee kushirikiana kutafuta masoko kwa wananchi wanaofanya shughuli za kiuchumi ili wasikate tamaa katika kutafuta kipato”.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndugu Robert Msunya amepokea pongezi zilizotolewa na Mkuu wa Wilaya na kuahidi kutoa msukumo katika masuala ya lishe, kwani watu wote ni Wadau wa Lishe.

Taasisi mbalimbali zikiwemo za World Vision na Assisting Small Farmers (ASF) wameendelea kutoa ushirikiano kwa kuanzisha vitalu na bustani za mbogomboga katika shule, ili kuendeleza suala la lishe kwa wanafunzi.

  

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa