Maandalizi ya Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023
Mwenge wa Uhuru unategemewa kupokelewa Mkoani Iringa Wilayani Mufindi tarehe 01/05/2023. Mwenge huo utakabidhiwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 02/05/2023 na kukimbizwa maeneo mbalimbali.
Katika kufanya maandalizi ya mapokezi ya Mwenge huo, Kamati ya Menejimenti imefanya ziara kukagua njia na miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru.
Pamoja na maandalizi haya, yawezekana kukawa na mabadiliko kwani hii ni hatua ya awali katika maandalizi na kuona njia zinazofaa kwa ajili ya kukimbiza Mwenge wa Uhuru.
Kituo cha Kwanza:
Kituo cha Pili:
Kituo cha Tatu:
Kituo cha Nne:
Kituo cha Tano:
Kituo cha Sita:
Kituo cha Saba:
Kituo cha Nane:
Mtaa wa Gangilonga
Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa
Simu ya mezani: 026-2702828/2702585
Simu ya mkononi: 0767778106
Barua pepe: ded@iringadc.go.tz
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa