• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mapambano Dhidi ya UVIKO 19 Yanaendelea Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Imewekwa : November 8th, 2022

Mapambano Dhidi ya UVIKO 19 Yanaendelea Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa inaendelea na zoezi la uchanjaji chanjo yza UVIKO 19, hadi sasa imefanikiwa kwa 61% na kwamba inatakiwa ifike 70% kwa maelekezo ya awali ya Serikali, na kutolewa maelekezo mengine kuwa ni lazima ifike 100%.

Akifungua kikao kifupi kilichohusisha Watendaji wa Kata wa Jimbo la Isimani, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Daktari Samwel Marwa amesema “kwa sasa tumepata Mdau mwingine ambaye ataweza kudhamini zoezi la uendelezaji wa uchanjaji. Mdau huyo ni Benjamin Mkapa Foundation ambayo itasaidia zoezi hili. Katika Tanzania ni Mikoa 10 tu na Halmashauri 24 zimechaguliwa kupewa usaidizi huu, Mkoa wa Iringa tumepata bahati hii, na kwamba Halmashauri tatu zikiwa ni Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mufindi na Kilolo. Hivyo tutumie fursa hii vizuri kwani tumeongezewa nguvu sana”, amesema Dkt Marwa.

Jambo hili limetokana na kuona kuwa, Mkoa wa Iringa upo nyuma sana kitakwimu katika uchanjaji hasa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, hivyo Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation kuona umuhimu na kuleta mchango wao.

Akitoa ufafanuzi wa jinsi ya zoezi hili litakavyoenda Mratibu wa Chanjo wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation Ndugu Clarence Mkoba amesema, “Taasisi imepata pesa hii ili kusaidia Mikoa hiyo kumi ikiwemo na Iringa. Hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imeonekana kuwa zoezi la uchanjaji lipo chini sana ukilinganisha na maeneo mengine”

Ndugu Mkoba ameongeza kusema kuwa, “Tumekaa na Kamati ya Afya Mkoa kuona namna ya kuliweka sawa zoezi hili ili lifanikiwe kwa ufanisi, ndipo tukaona tuonane na Watendaji wa Kata husika ili tupeane maelekezo.”

Akitoa mikakati ya jinsi kazi ya uchanjaji itakavyofanyika, Ndugu Mkoba amesema “Mpango ni kuchanja nyumba kwa nyumba, na kwa kutumia mikutano ya kijamii, ili tufikie lengo la 100% tuliyojiwekea. Pia taarifa hiyo inatakiwa kuingizwa kwenye mfumo kila siku wakati zoezi linatekelezwa na kwamba kiwango cha takwimu kiongezeke hadi 95%”, kwani tumepangiwa siku tisa tu za kazi hii”, amesema.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Mohamed Moyo, amewaambia Watendaji hao kwa kusisitiza juu ya jambo hili kuwa, kama hali halisi inaonekana basi si vizuri kukaa kimya, taarifa itolewe kwa usahihi ili kujua ukweli. Pia Watendaji watumie makundi ya michezo na mikutano ya wananchi kuhamasisha uchanjaji.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja ametoa shukrani kwa msaada huo ili kuongeza nguvu katika hili. Pia atatoa ushirikiano kwa kila hatua ili kufanikisha zoezi hili.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa