• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MASHINDANO YA MBOMIPA YAHITIMISHWA

Imewekwa : September 6th, 2023

Mashindano ya MBOMIPA Yahitimishwa

Matumizi Bora ya Maliasaili Idodi na Pawaga (MBOMIPA), wameendelea kutoa elimu katika Jumuiya za Uhifadhi, ili kulinda mazingira na maliasili kwa ujumla.

Katika kushirikiana na jamii MBOMIPA iliandaa mashindano ya mpira wa miguu kwa Tarafa ya Pawaga na Idodi ili kuleta uelewa wa pamoja katika jambo la uhifadhi mazingira, ambapo mashindano hayo yalianza Agosti  20, 2023 na kuhitimishwa Septemba 05/2023, na kufanikiwa kupata washindi katika mashindano hayo.

Akitoa hotuba yake katika kufunga mashindano hayo Mgeni Rasmi ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa amesema, “anawashukuru waandaaji wa mashindano haya kwani yameleta tija kwa kuleta jamii pamoja, pia kuona vipaji walivyonavyo vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa”.

Mheshimiwa Mhapa ameomba mashindano haya yafanyike tena mwakani kwani yanahamasisha vijana na kuwatoa katika mambo ya ujangiri, badala yake wanajiwekeza katika kulinda rasilimali zao.

Pamoja na kufunga mashindano hayo Mheshimiwa Mhapa aliweza kukabidhi zawadi kwa washindi mbalimbali ambao walipatikana.

Golikipa Bora toka Kijiji cha Tungamalenga Kata ya Idodi amepata zawadi ya mpira wenye thamani ya Shilinh 40,000/-, Mfungaji Bora Milton Luhego kutoka Kijiji cha Mahuninga Kata ya Mahuninga amepata zawadi ya mpira wenye thamani ya Shilingi 40,000/-, Mchezaji Bora Selemani Mbwawa kutoka Kijiji cha Kinyika Kata ya Mlenge amepata zawadi ya mpira wenye thamani ya Shilingi 40,000/-

Kadhalika zawadi imetolewa kwa Shule ya Sekondari Pawaga kwa kutoa uwanja utumike katika fainali za mashindano hayo, kwa kupata mpira wenye thamani ya Shilingi 40,000/-

Mshindi wa Nne ambao ni Mboliboli FC wamepata zawadi ya Tshirts, ambapo Robo fainali za mchezo huo ulikuwa kati ya Makifu FC kutoka Kata ya Mahuninga, Luganga FC kutoka Kata ya Ilolompya, Mbuyuni FC kutoka Kata ya Itunundu na Malinzanga FC kutoka Kata ya Mlowa.

Mshindi wa Tatu ni Mahuninga FC wamepata zawadi ya Shilingi 500,000/=, Mshindi wa Pili ni Tungamalenga FC wamepata zawadi ya Shilingi 700,000/=.

Hatimaye Kinyika FC wameibuka kuwa Mshindi wa Kwanza kwa Mashindano ya Kombe la MBOMIPA na kupata zawadi ya Shilingi 1,000,000/- na Kombe (Ngao) kutoka Kata ya Mlenge Tarafa ya Pawaga kwa mwaka 2023.

Mashindano haya yaliandaliwa na kudhaminiwa na Mashirika ya Lion Landscap kwa kushirikiana na Southern Tanzania Elephant Program – STEP.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI MAKATAPOLA

    May 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa