• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MATIBABU YA VIKOPE (TRAKOMA) YATOLEWA KWENYE HOSPITALI YA WILAYA YA IRINGA - IGODIKAFU

Imewekwa : August 10th, 2023

MATIBABU YA VIKOPE (TRAKOMA) YATOLEWA KWENYE HOSPITALI YA WILAYA YA IRINGA- IGODIKAFU

Wataalamu wa macho kutoka Wizara ya afya, na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kushirikiana na wadau kutoka shirika lisilo la kiserikali la Helen Keller International wamefika kwenye hospitali ya Wilaya ya Iringa (Igodikafu) tarehe10.08.2023 kutoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa wa Vikope (Trakoma), matibabu ambayo yanatolewa bila malipo kwa wote wenye changamoto hiyo.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, mwakilishi kutoka Wizara ya Afya kwa upande wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaombele ndg Husein Kilwanile amesema, “Wizara imekuja na utaratibu mpya kwa kushirikiana na WHO wa kutafuta wagonjwa nyumba kwa nyumba ili kuwafikia wote wenye tatizo la vikope na kuwahudumia”

Naye Mtaalamu wa matibabu ya macho Dr. Roida Augustino amesema, “Mafunzo yametolewa kwa wahudumu ambapo hadi sasa kata 19 zimefikiwa kati ya kata 28 za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na matibabu kwa wagojwa yamefanyika kwa kata 16 ambapo wagonjwa wapatao 179 wameshapatiwa matibabu na wanaendelea vizuri”

Kwa upande wao jamii na wananchi waliofikiwa na huduma hii wameipogeza sana serikali kupitia Wizara ya Afya, Halmasahuri ya Wilaya ya Iringa na Wadau kutoka shirika la Helen Keller Internation kwa kuwezesha huduma hii kuwafikia watu hadi ngazi ya jamii ambapo inaondoa kabisa gharama za matibabu ya ugonjwa huo kama wagonjwa wangefuata huduma hii kwenye hospitali kubwa.

Shirika la Helen Keller Internation limeweza kuisaidia hospitali ya Wilaya ya Iringa - Igodikafu kumsomesha course ya macho za awali muuguzi mmoja  na kwamba clinic ya macho imefunguliwa ambapo mwanzoni haikuwepo.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa