• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Meza kuu ikifuatilia hoja kutoka kwa wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Madiwani leo Julai 30/2021.

Imewekwa : July 30th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa sasa kutumia Bajeti ya Bilioni 65.5,DC- ahimiza kilimo cha mazao ya kimkakati

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa – DC)

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imeongezewa wigo wa bajeti yake (Celling) kutoka Bilioni 50,075,358,746 hadi 65,503,221,513 ambapo jumla ya ongezeko ni Bilioni 15,427,862,767.

Akisoma taarifa hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Mkurugenzi Mtendaji Bw. Bashir Muhoja alisema “ Kwa pindi cha mwaka wa fedha 2021-2022 Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ilikisia kukusanya na kutumia jumla ya Shilingi 50,075,358,746 kutokana na vyanzo vyake mbalimbali na bajeti hii kuidhinishwa na Bunge,lakini imeweza kuongezeka kwa kiasi cha 15,427,862,767”.

Katika Mkutano huo wa Baraza wenyeviti wa kamati waliwasilisha taarifa zao na kujadiliwa na wajumbe huku taarifa ya Kamati ya Afya,Elimu na Maji ikipita bila kuhojiwa hali iliyopelekewa wajumbe wa kamati hiyo kupewa sifa kwa kazi nzuri waliofanya na kutakiwa kuongeza ubunifu na weledi.

Aidha,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mh.Stephen Mhapa alitoa msisitizo kwa Waheshimiwa Madiwani kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya mita za maji ili kuweza kutunza na kuhifadhi huduma hiyo.

“Ndugu Waheshimiwa Madiwani wenzangu hapa tuwekane sawa,haiwezakani ninyi munge mkono suala la wananchi kutokutumia mita,badala ninyi mkawe mabalozi wa kuelimisha wanannchi umuhimu wa matumizi ya mita na za maji na huu ndio muarobaini wa kuonmdoa kero na malalamiko ya kulipia maji kuliko matumizi”alisema na kuongeza;

“Kuna baadhi ya wananchi wanatumia maji ya majumbani kunyweshea mifugo au kuchimba mabwawa ya kufugia samaki wengine kutumia kama bwawa au mto katika mashamba lakini pamoja na kuwa na matumizi makubwa bado wanalalamika na kukataa kutumia mita,hii sio sawa mimi Mwenyekiti wa Halmashauri naugana na mtaalam wangu wa maji (RUWASA)kusimamia matumizi bora na sahihi ya huduma hii”alisema.

Pia,kwa nyakati tofauti wakichangia hoja Diwani wa Kata ya Maboga Venslaus Myinga alishauri kitengo cha Ukaguzi kiwezeshwe ili kiweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi hali ambayo itaondoa shaka na hata kufanya Halmashauri yetu iondoke katika uwezekano wa kupata hati yenye mashaka.

“Leo katika kablasha hatuoni taarifa ya kitengo cha Ukaguzi ukiuliza utasikia sababu ambazo zinaweza kupatiwa uvumbuzi”Alisema Mh.Myinga.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa alipana na fasi ya kutoa neon na alikuwa na haya “Wilaya yetu ya Iringa ni Wilaya ya Kimkakati hasa kwa kuwa sisi wana Iringa ni wachapa kazi,tumeamua kujielekeza katika Kilimo hususani mazao ya Parachichi, Alizeti,Soya na Mikorosho katika maeneo ambayo zao hilo lina mea hasa Isimani na Pawaga”alisema na kuongeza;

“Sote ni mashahidi kwa kipindi cha takribani miezi mitatu nyuma nchi yetu ilikubwa na uhaba wa mafuta ya kupikia na kupelekea ongezeko kubwa katika bidhaa hii naamini sisi wana Iringa Alizeti tunaweza kulima na kusaidia kushika kwa bei katika bidhaa hii na kila mwanannchi aweze kumudu gharama zake”alisema.

Aidha,Mh.Moyo aliwataka Waheshimiwa Madiwani na Maafisa Tarafa wawe mabalozi kwa wananchi wanao waongoza na kutoa elimu ya tahadhali juu ya uwepo wa ugonjwa wa UVIKO – 19 wimbi la tatu ambalo lipo na wananchi wasipuuze na kudharau maelekezo ya Wataalam wa masuala ya Afya.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa