• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mh. Kigahe Kufunga Maonesho ya Utalii Karibu Kusini

Imewekwa : September 29th, 2023

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Afunga maonesho ya Utalii Karibu Kusini

“Natoa wito kwa viongozi kuendelea kutangaza fursa za maonesho katika Mikoa yote ya Kusini kwa kuibua fursa za mazao ya Utalii na kufanya maandalizi ya kuweza kuvutia waoneshaji na wanunuzi wengi”

Kauli hii imetolewa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mheshimiwa Exaud Kigahe alipokuwa anafunga maonesho ya Utalii Karibu Kusini Septemba 28, 2023 eneo la Kihesa-Kilolo Manispaa ya Iringa.

Mheshimiwa Kigahe ameongeza kusema kuwa, pamoja na vivutio vikubwa vilivyopo Nyanda za Juu Kusini, havitumiki sana wala kusikika hivyo kuna kazi ya ziada kuvitangaza. Utangazaji wa vivutio hivyo ndiyo nguzo kubwa ya kukuza utalii ikiwa ni pamoja na kukuza miradi mbalimbali ikianza na mradi wa Regrow.

Mh. Kigahe amesema, pamoja na jitihada za Kitaifa, kila Mkoa ujitahidi kutangaza vivutio vyake ili kukuza utalii huu, kwani kama Serikali inajitahidi kuhakikisha juhudi hizi zinafanikiwa.

Aidha, Mheshimiwa Kigahe amefurahishwa na Kaulimbiu ya Maonesho hayo inayosema “Utalii Karibu Kusini Muelekeo Mpya wa Uwekezaji” hivyo anawakaribisha wawekezaji wote waje kuwekeza katika Nyanda za Juu Kusini, kwa kujenga hotel kubwa za kisasa za Nyota Tano, na kuvutia wageni wengi zaidi wa hadhi mbalimbali kuja kutembelea Kusini.

Pia Mheshimiwa Kigahe amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa ubunifu wa kuwa na mnada wa nyama choma, kwani itasaidia wananchi kuwa na kipato zaidi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Omary Dendego ametoa shukrani nyingi kwa Waziri wa Maliasili na Utalii alipofungua maonesho hayo Septemba 23, 2023, na Wadau mbalimbali kufanikisha maonesho hayo.

Pamoja na mambo mengine Mgeni Rasmi aliweza kukabidhi tuzo kwa walishiriki katika makundi.

  • Kundi la Wadau
  • Norma
  • Sunset Hotel
  • Mout Royal Hotel
  • Kundi la Wizara
  • Wizara ya Maliasili na Utalii
  • Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Maji
  • Kundi la Mkoa
  • Mkoa wa Njombe
  • Mkoa wa Morogoro
  • Mkowa wa Mtwara
  • Kundi la Taasisi
  • Air Tanzania
  • Polisi Tanzania
  • Bodi ya Mazao Mchanganyiko
  • Kundi la Utamaduni:
  • Kabati Cultural Group
  • Iringa Gang
  • Shule ya Sekondari Miyomboni
  • Kundi la Mbio za Magari
  • Calvin Tailar
  • Faraj Abri
  • Walid
  • Kundi la Pikipiki
  • Nelson Mkakilwa
  • Shafii
  • Batista Mwinuka

Mashindano hayo yalidhaminiwa na Mbunge wa Iringa Mjini Mheshimiwa Jesca Msambatavangu.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa