• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mhe. Kheri Aongoza Mkutano wa MBOMIPA

Imewekwa : October 24th, 2024

Mhe. Kheri Aongoza Mkutano wa Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori (MBOMIPA)

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Kheri James ameongoza Mkutano Mkuu wa Baraza la Wajumbe wa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (MBOMIP), na Wadau wake wa uhifadhi kwa lengo la kujadili na kupeana maelekezo ya yatakayosaidia kuendeleza na kustawisha Hifadhi za Wanayampori kuchochea maendeleo kwa maslahi ya Wananchi na Taifa kwa ujumla.

Akizunguzmza katika mkutano huo uliofanyika Oktoba 23, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu Huria Manispaa ya Iringa Mhe. Kheri amewataka viongozi wa Jumuiya ya MBOMIPA kuhakikisha kwamba, fedha wanazozitoa kusaidia jamii zilizo karibu na Hifadhi hizo, zielekezwe kwenye huduma na maeneo ambayo yanagusa watu wengi ikiwemo Elimu, Afya, na huduma nyingine muhimu kwa jamii.

Sambamba na hilo, Mhe. Kheri amewataka Viongozi, Wajumbe wa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori kushirikiana na Wadau wengine kupambana dhidi ya ujangiri, kutokomeza uharibufu wa Hifadhi ambao unapelekea kupoteza maliasili ya wanyamapor,i ambao ndio hitaji kubwa linapokuja suala la Utalii katika Mkoa wa Iringa Taifa kwa ujumla.

“Kwenye hili Seirkali ipo, pale mnapoona juhudi zenu haziwezi kufanya vizuri zaidi msiogope kuomba msukumo wa Serikali na vyombo vyake, ili kufanikisha malengo ya kupambana na ujangiri kwenye maeneo yetu”

“Tukiuchekea ujagiri katika maeneo haya, muda siyo mrefu Hifadhi hizi zitakuwa majanga yasiyokuwa na chochote, kwa hiyo lazima tusimame kidete kutokomeza ujangiri na uharibifu kwenye Hifadhi zetu za Wanayamapori”. Amesema Mhe. Kheri

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa