• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. KHERI JAMES AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE IRINGA DC 2023/2024

Imewekwa : August 26th, 2024

MHE. KHERI JAMES AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA LISHE 2023/2024 IRINGA DC

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James ameongoza kikao cha Kamati ya Lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Agosti 26, 2024 kilichofanyika ukumbi wa makao makuu ya Halmashauri – Ihemi.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Mhe. Kheri amesisitiza juu ya utoaji wa chakula cha mchana kwa wanafunzi katika shule zote ili kukabiliana na suala la udumavu na kwamba hakuna sababu ya kutosimamia hilo kwani Iringa inasifika kwa uzalishaji.

“Maafisa watendaji wote, maafisa lishe na wote tuliopewa dhamana katika usimamizi wa masuala ya lishe tuhakikishe tunatimiza wajibu wetu. Lishe ni wajibu wetu wa msingi sio kwa sababu kiongozi kasema wala sio kwa sababu tumesaini mikataba ya lishe bali ni sera na kwa sababu jamii isiyokuwa na lishe ina changamoto ya afya ya akili na mwili” amesema.

Aidha, Mhe. Kheri amesisitiza juu ya utengaji wa fedha kwa ajili ya masuala ya lishe na ziweze kufanya jukumu husika na kila idara kuhakikisha inafanya wajibu wake.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mhe. Steven Mhapa amesisitiza kuwa ni muhimu sana wahusika wote kuyachukua maelekeza ya Mkuu wa Wilaya na kuyaweka katika utendaji ili kila mtu atoshe kwenye nafasi yake kwa kutimiza wajibu huu wa msingi.

Naye Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi Evelina Selemani amebainisha changamoto chache kuhusiana na suala la lishe ambazo ni za kufanyia kazi ili kuwa na matokeo mazuri ya tathmini ya lishe ikiwemo ushiriki hafifu wa jamii kwenye masuala ya lishe na matumizi yasiyo sahihi ya “Lengo Y”.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa