• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. LUKUVI AUNGANA NA WANANCHI KUMPONGEZA MHE. RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUIDHINISHA FEDHA ZA MRADI WA MKOMBOZI

Imewekwa : October 10th, 2022

Mbunge wa Jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi ameitisha Mkutano na wananchi wa Jimbo la Ismani Kata ya Itunundu na Kata ya Mbolimboli kwa lengo la kumshukuru Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kuzipatia Kata hizo Tshs. Bilioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Mkombozi (Mifereji ya umwagiliaji) katika Kata hizo zinazopatikana Jimbo la Ismani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Ujenzi wa Mradi wa Mkombozi unatekelezwa na wakandarasi wawili (2) katika Loti nne (4).

Mkombozi Lot. 1 Mkandarasi aliekabidhiwa Mradi huu ni M/s Comfix and Engineering Ltd kwa kiasi cha fedha Tshs. 8,124,094,326.00 na kazi zinazotekelezwa ni Ujenzi wa Banio, Mfereji Mkuu (Itunundu) umbali wa kilomita 5.9 na Barabara 5.9 km

Mkombozi Lot. 2 Mkandarasi aliekabidhiwa Mradi huu ni M/s Comfix and Engineering Ltd kiasi cha Tshs. 13,462,984,502.00 kazi zinazotekelezwa ni Mfereji Mkuu (Mboliboli) - km 18, Tuta la kuzuia mafuriko- 18km na Barabara-18km.

Mkombozi Lot. 3 Mkandarasi ni M/s CRJE (EAST AFRICA) Ltd kiasi chs Tsh 15,909,720,607.94 kazi zinazotekelezwa ni Mfereji wa kati (Secondary Canal) kilomita 39.99  na Mifereji ya Mashambani (Tertiary Canal) kilomita 90.219

Mkombozi Lot. 4 Mkandarasi ni M/s CRJE (East Africa) Ltd kiasi cha Tshs. 17,991,711,315.00 kazi zitakazotekelezwa ni Mfereji ea kati (Secondary Canal) kilomita 20.79 na Mifereji ya Mashambani (tertiary canal) kilomita 78.2.

Utekelezaji wa ujenzi huu kwa loti zote ni wa muda wa miezi kumi na nane (18) kuanzia tarehe 01/09/2022 na kutegemewa kukamilika tarehe 29/02/2024.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa