• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. MAKONDA AWAASWA VIONGOZI KUELEZA MATOKEO YA FEDHA ZINAZOPELEKWA KWENYE MAENEO YAO

Imewekwa : February 8th, 2024


Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Mhe. Paulo Makonda amewataka viongozi mbalimbali kwenye Mikoa, Wilaya na Halmashauri kueleza vitu halisi vilivyofanyika kwenye eneo husika kama matokeo ya fedha nyingi zinazotolewa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Mhe. Makonda ameyasema hayo alipokuwa kwenye ziara mkoani Iringa Februari 08, 2024 katika viwanja vya Mwembetogwa kama mwendelezo wa ziara zake za kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

“Mwoneshe mwananchi matokeo ya kazi iliyofanywa na hizo fedha aweze kuona ni mali yake, kutaja idadi ya fedha tu haisaidii yaani kutaja tu kuna mabilioni yameletwa kwa mwananchi wa kawaida hizo lugha hazielewi bali anachohitaji kusikia ni manufaa ya uwepo wa CT Scan, vituo vya afya, Hospitali, uwanja wa ndege, pembejeo na vifaa vya kilimo na namna vinavyoweza kuwanufaisha”

Eidha, Mhe. Makonda amewataka watendaji wa serikali wa kuchaguliwa, kuajiriwa au kuteuliwa kueleza kazi  wanazozifanya na faida zake kwa wananchi na kutumia vyombo vya habari ili kuwahabarisha wananchi kazi zinazofanyika.

“Sisi Kwenye chama tungefurahi kuwaona watendaji wa serikali hii ya Dkt. Samia kwa kuwa ninyi wenyewe ni mashuhuda ya kwamba mambo mazuri yanafanywa katika maeneo yenu, kwenye idara zenu na pesa zinaletwa kwa ajili ya kuchochea maendeleo ya wananchi, msisuburi mpaka aseme Waziri peke yake kila mtu ana wajibu wa kuisemea idara yake”.

Mhe. Paulo makonda pia amepata fursa ya kusikiliza kero mbalimbali za wananchi hususani kwenye masuala ya migogoro ya ardhi na kuzitafutia ufumbuzi.

Sanjari na hayo, Mhe. Makonda amewaasa viongozi wa serikali kutengezeza mazingira ya kuyatangaza maeneo yao ya kiutalii na kuwafanya wananchi nao wajisikie fahari kwao kuwa Watanzania na kwa hiyari yao nao watangaze vivutio vilivyopo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa