• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Milioni 128 Kujenga Mradi wa Shamba Darasa Kilimo cha Samaki Ibumila

Imewekwa : January 30th, 2023

Milioni 128 Kujenga Mradi wa Shamba Darasa Kilimo cha Samaki Ibumila

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni mia moja ishirini na nane (128) kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa lengo la ujenzi wa shamba darasa la kujifunzia namna ya ufugaji wa samaki katika Halmashauri.

Akizungumza katika utambulisho wa mradi huo ambao utatekelezwa katika Kijiji cha Ibumila Kata ya Mgama Mkuu wa Idara ya Ujenzi Mhandisi Nicco Kasiririka amesema mradi huo umefadhiliwa na Wizara na utatekelezwa kwa muda wa miezi mitatu.

Mhandisi Kasisirika amesema mradi huo utahusisha ushiriki wa nguvu za wananchi na kwa wakati huu itakua tofauti na miradi mingine, kwa mradi huo amesema wananchi watalipwa na wao watatoa nguvu kazi katika uchimbaji na ufanyaji kazi

“Tutakua tumezalisha ajira, na tunategema wananchi wajitokeze kwa wingi kuchangamkia fursa hii kwani kazi kubwa itakua ni kuchimba mabwawa na kusaidia katika shughuli za ujenzi”

Aidha Mhandisi Kasisirika amesema utaandaliwa utaratibu mzuri wa malipo kwa wananchi na kuwatoa hofu kuwa hakutakuwa na changamoto yoyote kwani fedha zipo tayari.

Naye Msimamizi wa Sekta ya Uvuvi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Kelvin Ndege amesema mradi huu utahusisha ujenzi wa Mabwawa manne, Ofisi ya Afisa Uvuvi, choo, chumba cha darasa na uzio.

Amesema lengo la mradi huo ni kukuza uchumi kwa wananchi na kuongeza kipato kupitia shughuli ya ufugaji wa samaki lakini pia amesema shamba darasa hilo litatumika kama sehemu rasmi ya mafunzo kwa Halmashauri nzima na Mkoa kiujumla.

“Tukiangalia Iringa yetu katika nafasi ya kitaifa inashika namba nne kwa udumavu na hii inatokana na ukosefu wa lishe bora, tunatarajia kupitia shamba darasa hili la ufugaji wa samaki litawanufaisha wanakijiji cha Ibumila na Halmashauri kiujumla kwa kupata lishe bora na elimu ya lishe.”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Ibimila Mhe. Richard Mhema ameshukuru kupelekwa kwa mradi huo katika Kijiji cha Ibumila na kuahidi kuwa kama kijiji watatoa ushirikiano na wataunda kamati za utunzwaji na uendelezaji wa mradi huo.

Mradi wa shamba darasa kilimo cha samaki unatarajiwa kuanza hivi karibuni mara baada ya kuundwa kamati mbalimbali za usimamizi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mafanikio ya Uhifadhi Yaguse Maisha ya Wananchi

    December 19, 2025
  • Kituo cha Mahuninga Kuzinduliwa Januari

    December 18, 2025
  • ELIMU YA LISHE KWA VITENDO ITOLEWE MASHULENI KUJENGA UELEWA - NDG. MASUNYA

    November 27, 2025
  • IRINGA DC YASAINI MKATABA WA BVC NA VIJIJI VYA BOMALANG'OMBE NA LYAMKO

    November 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa