• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Milioni 247,900,000/= Kutolewa katika Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu

Imewekwa : February 3rd, 2023

Milioni 247,900,000/= Kutolewa katika Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imetenga kiasi cha Tsh. 247,900,000/= kwa ajili ya kutoa mikopo isiyo na riba kwa vikundi vya wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu ikiwa ni kutekeleza agizo la utengaji wa asilimia kumi (10%) ya fedha za mapato.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bibi Saumu Kweka amewapongeza wote walioshinda katika mchakato wa maombi ya mkopo, amesema lengo lilikuwa kubwa lakini hata kwa hicho walichokipata yawapasa kushukuru.

Aidha amesema kuwa mikopo hiyo watakayipatiwa itakaa kwa muda wa miezi mitatu ndipo marejesho yataanza.

"Ninawaomba hizi fedha mlizoomba mkafanyie kazi mliyoombea ili muweze kurejesha kwa wakati na ili wengine waweze kukopa na wao wafanye maendeleo".

Pia amesema mikopo yote itakayotolewa haitarejeshwa kwenye akaunti kama zamani kwani kwa sasa kutakuwepo na namba maalumu kwa ajili ya marejesho.

"Kwa sasa tuna utaratibu mpya hivyo hakikisheni mtu mnayemtuma akaweke fedha kwenye akaunti ni lazima alete risiti ili kujua kweli kiasi kilichowekwa ndicho kile mlichokubaliana".

Kadhalika Bibi Kweka amewataka wanufaika wa mikopo kuwa makini katika mafunzo yatakayotolewa yakiwemo unyanyasaji na ukatili wa kijinsia, namna ya kufanya buashara, na masuala mengine ya kijamii kwani yana manufaa makubwa katika maisha ya kila siku.

Vikundi takribani 56 vitanufaika na mikopo hiyo ikiwa vikundi vya wanawake ni 18, vikundi vya vijana ni 19 na vikundi vya watu wenye ulemavu ni 19 ambapo jumla ya vikundi vyote vitahamishiwa fedha katika akaunti za vikundi husika.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa