• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI AKIZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI

Imewekwa : May 5th, 2020

MAKAMPUNI YA ASAS YAUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA COVID 19 IRINGA DC



Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano Iringa DC)

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepokea msaada wenye thamani ya Shilingi milioni 14 kutoka makampuni ya ASAS kwa lengo la kuimarisha utowaji wa huduma za afya hasa kwa Ugonjwa huu wa COVID 19.

Akizungumza na vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bw Robert Masunya amesema Halmashauri imepokea maelekezo kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenga kituo maalum kwa ajili ya kutolea huduma kwa wagonjwa wa Corona.

“Hadi sasa Halmashauri haina mgonjwa ila tumepokea maelekezo na tunafanya maandalizi iwapo itatokea basi hakutakuwa na wasiwasi ya wapi tutawaweka wagonjwa na kuwahudumia kwa kuwa eneo hili la Zahanati ya Kising’a ndio litatumika”alisema.

Bw Masenya alisema ukarabati wa kituo hiko utahusisha kujenga uzio wa wodi maalum ambayo inajumla ya vitanda kumi na sita (16) ambavyo vitanda nane kwa ajili ya wagonjwa wakiume na vingine nane kwa wagonjwa wa kike,na kuongeza ujenzi wa vyumba maalum vya kubadilishia nguo baada ya kuwahudumia wagonjwa na vyumba vya kujisafishia .

“Kutakuwa na milango miwili  wodi mlango mmoja wa kuingilia na mwingine kutokea ili kuzuia usambaaji wa virusi vya CORONA,lakini pia kwa kuweka uzio tutadhibiti wagonjwa waliopta nafuu kutoroka na kurudi katika jamii zao bila kuruhusiwa na wataalam wa afya”alisema.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Iringa Bw Samwel Marwa alisema mbali na Wodi yenye vitanda 16 kuna chumba maalum chenye vitanda vine ambacho kitatumiwa kwa washukiwa wa virusi vya Corona wakati wa kusubiri majibu ya sampuli kutoka maabara kuu ya Taifa.Akijibu swali la Mwanahabari Bw Marwa alisema “washukiwa wa virusi vya COVID 19 walikuwepo lakini kama livyozungumza Mkurugenzi Bw Masunya majibu ya sampuli yalionyesha hawana maambuziki hivyo waliruhusiwa kurudi katika jamii zao baada ya muda wa matazamio kuisha bila kuonyesha dalili za ugonjwa huo.”.

Bw Masunya pamoja na Kuyashukuru Makampuni ya ASAS amewaomba wadau wengine wajitokeza kuchangi ili kuisaidia Serikali kupambana na Janga la virusi vya COVID 19 ambavyo ni hatari zaidi kwa afya ya Binadamu.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa