• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI IRINGA DC AFANYA ZIARA KUZUNGUMZA NA WATUMISHI

Imewekwa : December 13th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Mhoja amefanya ziara na kuzungumza na Watumishi watumishi wa Kata ya Kalenga, Ulanda, Nzihi na Kiwele katika Tarafa ya Kalenga. Mkutano huu umefanyikia katika ukumbi wa chuo cha Nursing Tosamaganga 13.12.2023 ambapo lengo la ziara ni kuwakumbusha watumishi wajibu wao, haki zao na kusikiliza changamoto ili kuzipatia ufumbuzi.

Mkurugenzi Mtendaji pia aliambatana na wataalamu idara na taasisi mbalimbali ili kuhakikisha kuwa kila jambo linalomgusa mtumishi linasikilizwa na kupatiwa ufumbuzi, wataalamu hao ni pamoja na Mtaalamu wa Saikolojia, Mtaalamu kutoka NHIF, PSSSF, WCF na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ambao wameweza kufafanua masuala mbalimbali yanayowagusa watumishi.

Wataalamu kutoka idara na taasisi mbalimbali wamefanya uwasilishaji wa masuala mbalimbali yanayowahusu watumishi kisha Mkurugenzi kutoa nafasi kwa watumishi hao kuuliza maswali na kutoa changamoto zao ili kupatiwa majibu au ufumbuzi

Akisungumza na watumishi, Mkurugenzi Mtendaji (W) Wakili Bashir Mhoja amesema “Tumesikiliza na kupata hata nafasi ya kusoma kila kilichoandikwa kwenye kila karatasi, Lakini na yale maswali yaliyoulizwa moja kwa moja pia tumepata nafasi ya kuyajibu pia kuna ambayo tumeyabeba tunaahidi kuwa tutarejesha mrejesho kwa maandishi aidha kwa viongozi wa Hospitali au wa taasisi husika kwa maana ya shule zetu au mtu mmoja mmoja”

Ziara hii inaendelea kwenye Tarafa ya Isimani ambapo Mkurugenzi Mtendaji (w) na timu yake ambapo atakutana na watumishi kutoka Kata ya Malengamakali, kihorogota na Kising’a na Nyangoro.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa