• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri wa Wilaya Iringa akisikiliza taarifa kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bi.Josephine Joseph

Imewekwa : July 1st, 2020

TASAF yafanya Uhakiki ili kubaini Wanufaika Hewa.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa -DC)

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bi. Josephine Joseph amesema katika kipindi cha pili cha Mradi wa TASAF awamu ya tatu wanafanya uhakiki ili kubaini wanufaika hewa.

Bi.Joseph amesema hayo wakati akisoma taarifa fupi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa  Bw.Robert Masunya,Wakuu wa Idara na Vitengo ili kwa pamoja waweze kusimamia utekelezaji wake na kunusuru kaya hizo kama serikali inavyokusudia.

“Utekeezaji huo utafanyika katika Halmashauri zote I85 za Tanzania Bara na Wilaya zote za Zanzibar na itahusisha Vijiji,Mitaa na Shehia zote ambazo hazikupata fursa katika utekelezaji wa kipindi cha kwanza ambacho kimekalimilika Disemba 2019”alisema.

“kipindi cha pili kitafikia kaya milioni moja laki nne na hamsini elfu zenye jumla ya watu milioni saba kote nchini hii ikiwa ni nyongeza ya kaya laki tatu na hamsini elfu,ambapo mkazo mkubwa utakaofanywa katika kaya hizi  ni kufanya kazi ili kuongeza kipato”aliongeza.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa  Bw. Robert Masunya amesisitiza kazi ya uhakiki ifanyike kwa kuzingatia weledi wa Utumishi wa Umma na kuhesimu mipaka ya kazi iliyoainishwa kisheria.

“Ni kosa kutumia urasimu wa udugu na urafiki katika utekelezaji wa kazi na badala yake kazi hii ifanyike kwa mujibu wa sheria,taratibu na miongozo itakayotolewa na TASAF ili kuleta tija iliyokusudiwa na Serikali”alisema.

Bw.Masunya ametoa Rai hiyo Juni 29 mwaka huu,kwa wasimamizi ambao wemejengewa uwezo ili wakatoe elimu hiyo kwa wanufaika wa TASAF ili nao waweze kujikwamua na kutoa mafanikio chanya na kuacha alama ya unufaika wa mradi huo wa TASAF.

“Nawasihi sana kazi hii muifanye kwa moyo mkubwa,uadilifu na uaminifu mkubwa zaidi kwa kuwa sasa hivi ni kwenda kumalizia maeneo ambayo ni ya msingi zaidi ili kuisaidia Serikali kuwafikia walengwa stahiki”alisema Bw.Masunya.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa