• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji Wakili Bashir Muhoja akitoa ufafanuzi kwa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mradi wa kitega uchumi cha ujenzi wa Nyumba za makazi eneo la Gangilonga

Imewekwa : January 27th, 2022

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa yaipongeza Iringa DC kwa utekelezaji wa Miradi yenye ubora.

 

Ummi Mohamed (Afisa habari na Uhusiano,Iringa-DC)

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tarehe 18 Januari mwaka huu ambapo ilitembelea shule zilizojengwa kwa pesa ya tozo, mradi namba 5441 TCRP na madaraja.

Akizungumza wakati wa kukagua miradi hiyo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mh.Abel Nyamahanga amesema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi yote na kuongeza kuwa imezingatia thamani ya fedha (Value for money).

“Nichukue fursa hii kuwapongeza viongozi wote wa Serikali kuanzia Mh.RC,DC,DED na Wataalam wote hakika mmefanya kazi nzuri tunatambua uharaka wa miradi hii lakini mmefanya vizuri sana nawapongeza sana”alisema Mh.Nyamahanga.

Kwa upande wa miradi inayotekelezwa na Halmashauri ambayo ni sehemu ya vitega uchumi ni nyumba mbili zinazojengwa eneo la Gangilonga Manispaa ya Iringa,mradi ambao ukikamilisha utachangia sehemu ya mapato ya ndani.

Aidha,Mh. Nyamahanga alikagua miradi ya maji katika Kata ya Maboga Kijiji cha Magunga,Mradi wa daraja unaounganisha Vijiji vya Bandabichi na Itengulinyi sambamba na miradi ya tozo, miradi namba 5441 TCRP.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh.Queen Sendiga ameishukuru Kamati hiyo na kuahidi kuendelea kutekeleza vyema miradi yote ambayo imeainisha katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ambayo ipo katika eneo lake la Uongozi.

“Nimepokea maelekezo katika baadhi ya miradi nitayafanyika kazi ili kuboresha zaidi lakini pia na mimi niwapongeze sana Watumishi wangu kwa kujitoa kwenu nakiri kufahamu baadhi yenu mlifanya kazi zito usiku na mchana ili kuhakikisha miradi hii inakuwa na ubora tuliokubaliana na kutarajiwa ili thamani ya fedha za Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ionekane”alisema na kuongeza

“Shukrani yetu kwa Mh.Samia Suluhu Hassan ambaye ni Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuitunza miradi hii na kuhakikisha inakuwa katika mazingira ya usafi ili iendelee kupendeza kama inavyoonekana wakati huu”alisema Mh.Queen Sendiga.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa