• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani Kupitisha Hesabu za Mwaka wa Fedha 2022/2023

Imewekwa : August 30th, 2023

Baraza la Madiwani Laidhinisha Taarifa ya Hesabu za Mwaka wa Fedha Unaoishia Juni, 2023

Baraza la Madiwani leo Agosti 30, 2023 limepitia na kuidhinisha taarifa ya hesabu za mwisho za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa za mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2023.

Kikao hicho ambacho kimeongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Julius Mbuta, na Katibu wake ambaye alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Saumu Kweka.

Akitoa hotuba yake fupi Mheshimiwa Mbuta amesema, “tunawaamini wataalam wamefanya kazi vizuri ya kusimamia na kulinda rasilimali za Halmashauri. Pia kuna makosa madogodogo yarekebishwe ili hesabu ziwe sawa”.

Taarifa zilizopitishwa ni zile za mizani ya hesabu, ufanisi wa hesabu na mtiririko wa fedha. Pia mabadiliko ya rasilimali za Halmashauri na za ulinganufu wa bajeti na halisi.

Akiwasilisha taarifa hiyo ya hesabu Kwa Niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Bi. Jwan Maria Yengi amesema, “baada ya kuidhinisha ninyi Waheshimiwa Madiwani, hesabu hizi ziko tayari kuwasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali”.

Naye Katibu Tawala wa Wilaya Ndugu Semindu Michael amesema, “Madiwani mnafanya kazi vizuri ya kusimamia wananchi na miradi inayotelekezwa katika Kata zenu. Pia mmepewa jukumu la kujua kila mradi unaoingia katika Kata, na kujua kiasi cha pesa kinachotekeleza katika mradi husika. Hivyo mnaisaidia Serikali kwa kiasi kikubwa sana kwani ninyi mpo karibu na wananchi kwa kujua mahitaji yao”.

Pamoja na hayo Ndugu Semindu ametoa maagiza kwa Madiwani hao kuwa, wasimamie na kufuatilia wafanyabiashara wa mafuta kuelekea bei mpya, kwani kuna baadhi yao huwa wanaficha mafuta na kusubiri bei ipande. Kadhalika amewaagiza Maafisa Tarafa wafanye utaratibu wa kushghulikia kero za wananchi katika maeneo yao kwa kushirikiana na Wataalam.

Ndugu Semindu ametoa pongezi kwa Mkoa wa Iringa kwa kuwa mshindi wa Tatu Kitaifa katika kushughulikia Afua za Lishe, na kwamba Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imekuwa ya 48 katika suala la Lishe.

Aidha Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya (CCM), Komredi Costantino Kihwele ameeleza kuwa, walipofanya ziara kukagua miradi ya maendeleo walifurahishwa sana kwa kukuta wananchi na wanachama wa CCM katika kila eneo la mradi. Hii imeonesha ni jinsi gani Ilani ya Chama cha Mapinduzi inatekelezwa kwa kufuatilia miradi inayoletwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pia amepongeza kwa miradi hiyo kuwa vizuri, na kutoa dosari ndogo ambazo ni rahisi kurekebisha.

Matangazo

  • EID - AL- ADHA MUBARAK June 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa