• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkutano wa Baraza la Madiwani kwa Robo ya Pili Wafanyika

Imewekwa : February 22nd, 2023

DC Kessy Awataka Wananchi Kutofanya Uharibifu wa Mazingira na Kutunza Vyanzo vya Maji na Kupanda Miti Rafiki wa Maji

“Suala la uharibifu wa mazingira nimelitoa kwa uzito wake na kutaka wananchi wazingatie kutunza mazingira na kupanda miti rafiki wa maji. Kauli hii naitoa kwa uchungu mkubwa sana kwani misiti inaharibiwa kwa kukatwa hovyo na kuchomwa mkaa”

Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy alipokuwa akitoa hotuba fupi katika Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani kwa Robo ya Pili kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, ambao umefanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo 21/02/2023.

“Sheria iliyowekwa ya kuomba kibali cha kusafisha mashamba inawezekana ikabadilishwa, kwani mtu akiomba kibali cha kusafisha shamba kama alivyoomba badala yake anachoma mkaa, na kupelekea kuharibu mazingira”. Amesema Mheshimiwa Kessy.

Mheshimiwa Kessy ameendelea kusema kuwa, misitu inasaidia sana kuongeza kiwango cha mvua pia kuweka mizinga ya nyuki na kuvuna asali.

Naye Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Grace Tendega ambaye amepata nafasi ya kuhudhuria kikao hicho, ameshukuru kwa wajumbe kutoa maoni mbalimbali, naye kama Mbunge ataenda kufanyia kazi kama alivyotumwa. Pia amesisitiza suala zima la mapato, na kusema kuwa bila mapato Halmashauri haiwezi kufanya maendeleo yoyote.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mheshimiwa Jackson Kiswaga amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha za miradi ambayo inaendelea kutekelezwa katika Halmashauri.

Mheshimiwa Kiswaga ameongeza kusema kuwa, ataendelea kuomba fedha ziletwe katika Halmashauri ili miradi na maboma ambayo bado hayajamalizwa yaweze kukamilika na kutumika.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa amewasisitiza wananchi wanaonufaika na mikopo ya Asilimia 10, ya Makundi ya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu kuwa, mara wanapokopeshwa basi wafanye marejesho kwa wakati ili kutoa nafasi kwa wengine waweze kukopa.

Mheshimiwa Mhapa ameongeza kusema kuwa, kuanzia sasa utafanyika utaratibu wa kuwafuatilia wale wote ambao walikopa muda mrefu na hawajafanya marejesho ili waweze kuwachukulia hatua.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa