• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA WA IRINGA AKUTANA NA VIONGOZI IRINGA DC

Imewekwa : April 8th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amefanya kikao na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Waheshimiwa madiwani, maafisa tarafa na viongozi wengine wa Wilaya katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo April 08, 2024.

Katika kikao hicho Mhe. Serukamba ametumiafursa hiyo kujitambulisha, kuwatambua viongozi anaofanya nao kazi na kujua shughuli za maendeleo zinazotekelezwa na hatua za utekelezaji wake.

Akizungumza na viongozi hao wa Mhe. Peter Serukamba amewaomba waweze kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo iliyoanzishwa kwenye maeneo mbalimbali ya wananchi inakamilishwa kwa wakati na kwa ubora unaostahili.

“Tunapata fedha nyingi kutoka Serikalini kwa hiyo tunatakiwa kufanya kazi kwa bidii. Naona miradi mingi ipo nyuma hivyo tunatakiwa kuikamilisha miradi ifikapo April 30, 2024”

 Pia amemtaka Mkurugenzi Mtendaji aweze kufunga hoja za CAG kwa wananchi, na kwamba kila malipo yanayofanyika kuwepo na mikataba, invoice na kufuata taratibu.

Kwa upande mwingine Mhe. Peter Selukamba ametoa maelekezo kwa viongozi na wakuu wa idara kuhakikisha kuwa wanasikiliza na kutatua kero za wananchi, kusimamia asilimia kumi ya mapato ya Halmashauri yaliyolenga kwenda kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Na kutoa rai kwa waheshimiwa madiwani washirikiane na wataalamu kuhakikisha kuwa wale waliokopafedha za 10% wanafanya marejesho ili kutoa fursa kwa wengine kukopa.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mhe. Steven Mhapa amemuahidi Mkoa wa Mkoa Mhe. Peter Serukamba kuwa maelekezo yote aliyoyatoa wameyapokea na watahakikisha wanayafanyia kazi kwa niaba ya wafanyakazi na kwa Halmashauri kwa ujumla. Sambamba na hayo, Mhe Mhapa ametoa pongezi zake za dhati kwa Mhe. Serukamba kuaminiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuahidi kutoa ushirikiano mkubwa kwake.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa