• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh Ally Hapi akisafisha mikono kwa kitakasa mikono na kupima Joto kabla ya kuingia katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Imewekwa : May 18th, 2020

MKUU WA MKOA IRINGA, AIFAGILIA IRINGA –DC

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa –DC)

Mkuu wa Mkoa Iringa Mh Ally Hapi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kupata Hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo.

Mh Hapi alisema hayo leo Mei 15 alipokuwa amehudhuria kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichokuwa kikijadili hoja za mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ulioishia mwezi Juni mwaka 2019.

“kwa dhati naipongeza Halmashauri yenu ya Iringa kwa usimamizi mzuri katika miradi ya maendeleo  na kusimamia ukusanyaji wa mapato ambapo hadi kufikia Aprili 20,Halmashauri hiyu ilikuwa  imekusanya kiasi cha bilioni 2.6 sawa na asilimia 90 ya lengo la kukusanya bilioni kiasi cha milioni 306 ili kufikia au kuvuka lengo la bilioni 2.9 ifikapo mwezi Juni mwaka huu”alisema.

Aidha ameelekeza menejimenti ya Halmashuri ya Wilaya ya Iringa  kufanya ufutiliaji wa kina ili kubaini kasoro katika mfumo ili kuhakikisha kunakuwa na taarifa sahihi na kuwalipa wakandarasi na wadau mbalimbali waliofanya kazi za Halmashauri kwa wakati ili wanufaike na stahiki zao.

“Naagiza mtafute fedha ili mlipe madeni yote yanayostahili kulipwa ili kuwawezesha wadai kunufaika na stahiki zao lakini pia kuwapa tenda Wazabuni wenye uwezo ili miradi yote inayotekelezwa imalizike kwa wakati”alisema.

“Hongereni sana, lakini pia hakikisheni mnatumia wazabuni wenye uwezo ili miradi ya maendeleo iwe na ubora unao stahili na iwe inaendana na kasi ya Serika”

Alimuagiza Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala kufuatilia madeni ya watumishi na kuwalipa na iwapo hakuna fedha atumie mtumishi wake na kuagiza pia, hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa watumishi wote ambao hawana weledi il kuinusuru Halmashauri kutowekewa hoja zisizokuwa za lazima.

Aidha Mh Hapi aliwaomba waheshimiwa madiwani kusaidia utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya Ugonjwa COVID 19,na kuwahamasisha dhidi ya uchukuaji wa Tahadhali ya maambukizi ya Ugonjwa huo lakini pia,amewataka  wazingatie ushauri wa wataalam wa afya katika maeneo yao.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa