• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh.Queen Sendika akiwa katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Stephen Mhapa

Imewekwa : June 10th, 2021


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga ataika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuangalia ilipo jikwaa.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Queen Cathbert Sendiga amewaasa Watumishi kufanya kazi kwa weledi ili kuleta maendeleo chanya ambayo ni chachu ya maendeleo.

Mh.Sendiga alisema hayo Juni 10 mwaka huu wakati alihudhuria mkutano maalum wa Baraza la Madiwani ambapo wajumbe watakuwa wakipia,kujadili na kutoa maoni katika taarifa ya majibu ya Menejimenti ya hoja zote za Ukaguzi wan Nje wa mwaka wa fedha 2019/2020.

“Kuwa na hati yenye mashaka isiwavunje moyo kwa sababu miaka yote wataalamu ni ninyi isipokuwa mrudi mjiulize ni wapi mmekosea ili kasoro hiyo isijirudie katika mwaka mwingine wa fedha lakini mzingatie maelekezo na maagizo mtakayokuwa mkipewa na wakaguzi wa nje”alisema Mh.Sendiga na kuongeza

“Baadhi ya hoja inajibika na hazina sababu ya kuendelea kuwepo katika orodha nah ii imesababishwa na baadhi yenu kushindwa kuwajibika kwa nafasi yake mfano haiwezekani mashine ya POS isitumike zaidiya 900 hii ni aina ingine ya kupoteza mapato ama uchepushaji wa fedha za serikali”alisema pia,

“Halmashauri ya Wilaya ya Iringa nimeambiwa imebarikiwa ardhi inayokubali mazao yote,serikali imekuja na mkakati wa kilimo cha Alizeti na ofisi yangu muda si mrefu itakuwa na mbegu za kusambaza na hii ni baada ya mimi na Katibu Tawala kwenda kumuona Waziri mwenye dhamana na kumuambia matamanio yetu na dhamiri yetu ya kutamani Mkoa wa Iringa nao ulime zao hili la Alizeti na Mh.Waziri

amekubali”alisema.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Bi.Hapiness Seneda amewakumbusha wakuu wa Idara kutimiza wajibu wao sambamba na kuwataka kuzipatia uvumbuzi changamoto za watumishi wa Idara zao waliopo katika ngazi za Msingi.

“Katika ziara yangu ya kuzungumza na Watumishi walikuwa na changamoto na kero nyingi ambazo Wakuu wa Idara mnaweza kuzipatia uvumbuzi nilitoa maelekezo na leo nakumbushia kuhusu suala hilo”alisema.

Pia,alikumbushia suala la kuwahi na kutekeleza majukumu ya kila siku kila mmoja katika eneo lake la kazi na kuagiza kwa Menejimenti kubuni vyazo vipya vya mapato ili kuwa na uhakika wa kutekeleza miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa