• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA IRINGA AIPONGEZA IRINGA DC KWA KUFANYA VIZURI KWENYE AFUA ZA LISHE

Imewekwa : January 15th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James ametoa pongezi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kufanya vizuri kwenye suala zima la utekelezaji wa mkataba wa Lishe. Mhe. James ametoa pongezi hizo katika kikao cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe kwa robo ya pili 2024/2025 kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya iliyopo Mawelewele Januari 16, 2025.

Katika taarifa iliyowasilishwa mbele ya kikao cha tathmini ya afua za lishe, inaonesha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imefanya vizuri kwenye kadi ya alama mkataba wa lishe ngazi ya jamii ambapo kila kipengele kina rangi ya kijani.

Sanjari na hayo Mhe. Kheri ameipongeza Iringa DC hasa kwenye eneo la utoaji wa fedha za afua za lishe ambapo kwa robo hii zaidi ya milioni 31 zimetolewa ambazo ni 162.8% sawa na shilingi 2,745.3 kwa kila mtoto.

Aidha Mhe. Mhe. Kheri amekumbusha kuwa Iringa DC ina nafasi ya kufanya vizuri si tu kwenye suala la lishe bali kwenye maeneo yote ikiwemo mbio za Mwenge wa Uhuru kwani wana nafasi ya kujifunza kwa wengine wanao wazunguka ikiwemo Halmashauri za Jirani.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mhe. Steven Mhapa amesisitiza juu ya utoaji wa elimu ya sumu kuvu, sumu ambayo imekuwa tishio kwa jamii kutokana na uhifadhi wa chakula usio sawa wa chakula na kushauri kuwa badala ya mtu mmoja wa Idara ya Kilimo kufanya hiyo kazi maeneo yote, wajengewe uwezo watu wengine wanaoweza kutoa hiyo elimu ili kuunda timu itakayorahisisha kuyafikia maeneo mengi.

Kikao cha tathmini ya mkataba wa lishe kimeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James ambacho kimehudhuriwa na Maafisa lishe wa Halmashauri, Wakuu wa Idara na vitengo katika Halmashauri na watendaji wa kata ambao wapo mstari wa mbele kwenye usimamizi wa shughuli mbalimbali za afua.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa